AmenMkiambiwa ulevi haramu, hamtaki.
1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Alikutana na damu changa kwanini asifurahie???Mama mkwe ana makosa. Kwanini akubali kugegedwa. Alikuwa anafurahia tu
Mama mkwe ana makosa. Kwanini akubali kugegedwa. Alikuwa anafurahia tu
Jamaa alijua mkewe halafu si unajua pombe tena... Unaparamia tu hata kama ardhi haijawa oevu@mshana jr kwa hiyo jamaa alimparamia bila maandalizi. Bila Shaka angeanza kwa maandalizi habari ingekuwa nyingine, asingeweza kugegeda
@mshana jr kwa hiyo jamaa alimparamia bila maandalizi. Bila Shaka angeanza kwa maandalizi habari ingekuwa nyingine, asingeweza kugegeda
Ukishalewa sawasawa maandalizi hakuna tena ni kugegeda tu
!) Viliwatuma wapange ku do na baba yao mzazi hakuna asiyejua nguvu ya mvinyo hasa kwa wale madomo zege
lakini pia...
Watu hulewa ili kuisingizia pombePombe pombe pombe kwakweli imekua ikionewa sana na yote ni kwasababu ya kuitumia bila kipimo na kubaki kulaumu pombe tu (too much is harmful )

Hii ni kweli kabisastory kama hii nshawahi isikia mie najuanga ni jokes tuu, ila kama ni kweli jamaa ni changamoto