Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Wale wadudu jamii ya panzi SENENE wleo wamefurika mjini BK leo
kama una jamaa yako hapa mwambie akutunzie.Wapo wengi sana,mfuko mweupe sh 100,000 tu
Endelea kutazama TV za tanzania utajionea jinsi senene walvyoathiri bishara ya nyama
byabato
kama una jamaa yako hapa mwambie akutunzie.Wapo wengi sana,mfuko mweupe sh 100,000 tu
Endelea kutazama TV za tanzania utajionea jinsi senene walvyoathiri bishara ya nyama
byabato