Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Nikiwa niko zangu kwenye ofisi yangu duka la vifaa vya ujenzi mida ya saa mbili asubuhi, kaja binti makamo kama miaka 16 hivi, kanunua box 4 za tiles, hela aliyonipa ilitakiwa nimrudishie 6000 cha kushangaza eti dogo ananiambia "keep chench!!! "
Hawa watoto wa matajiri hawa wana vibweka sana, mtoto wa form II kuacha chenchi elfu 6 sio rahisi aisee.
Usilalamike ukasema Tanzania "tuna maisha magumu" wewe sema "Nina maisha magumu sana"
Hawa watoto wa matajiri hawa wana vibweka sana, mtoto wa form II kuacha chenchi elfu 6 sio rahisi aisee.
Usilalamike ukasema Tanzania "tuna maisha magumu" wewe sema "Nina maisha magumu sana"