Leo 5/11/2017 naacha pombe rasmi

Leo 5/11/2017 naacha pombe rasmi

mkubwa nikionacho ni kwamba ulikua na hela sasa hela imekata unapata stress sasa
 
Salam zenu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, Ndgu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inansuta sana.

Niseme tu numeamua kuchana na pombe kutokan na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani

2. Tangu nianze kunywa huu ni mwaka wa 5 sioni faida yoyote zaidi ya hasara kama za kupoteza simu, kupoteza pesa, kupoteza heshima, kupoteza baadhi wa watu wa msingi na sana sana kupoteza utu wangu.

3. Natokea familia ya kimasikin sana hivyo naona kuendelea kunywa pombe n kama naisaliti familia yangu.

4. Nimetathmini kuwa kuendelea kunywa pombe ni kuisaliti nafsi yangu, kumsaliti "my future wife" na pia kuwasaliti wanangu ambao bado wpo kiunoni mwangu( ntapoteza sifa mojawapo ya kuwa baba bora)

Kiufupi sioni faida za kuendelea kunywa pombe, naacha kunywa pombe rasmi hivyo ndgu zngu naomba mnikumbuke ktk sala.

Zaidi zaidi nipo mbioni kuachana na anasa nyingine ya kupenda wanawake, changamoto kubwa ktk hili n kuwa sijawahi kukutana na mwanamke aliye commited(naweza kumpenda kwa dhati ila akaja kuntenda baadae) hivyo nakua sipo commited to a girl i be with, ila
Naamin yupo mmoja nlieandaliwa na mungu na nitakutana nae tu naamini katika kipindi kifupi kijacho tujenge maisha.

Kwaheri pombe nilikupenda sana sana tena sana lakini mahala salama pamenipenda zaidi.

Mkuu uamuzi wako ni mzuri sana. Kama uko DSM fanya tukutane mchana huu tuzigonge bia za kutosha kukuaga rashi chamani.......mimi sina sababu ya kuacha, pombe haijawahi kuniangusha!
 
Salam zenu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, Ndgu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inansuta sana.

Niseme tu numeamua kuchana na pombe kutokan na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani

2. Tangu nianze kunywa huu ni mwaka wa 5 sioni faida yoyote zaidi ya hasara kama za kupoteza simu, kupoteza pesa, kupoteza heshima, kupoteza baadhi wa watu wa msingi na sana sana kupoteza utu wangu.

3. Natokea familia ya kimasikin sana hivyo naona kuendelea kunywa pombe n kama naisaliti familia yangu.

4. Nimetathmini kuwa kuendelea kunywa pombe ni kuisaliti nafsi yangu, kumsaliti "my future wife" na pia kuwasaliti wanangu ambao bado wpo kiunoni mwangu( ntapoteza sifa mojawapo ya kuwa baba bora)

Kiufupi sioni faida za kuendelea kunywa pombe, naacha kunywa pombe rasmi hivyo ndgu zngu naomba mnikumbuke ktk sala.

Zaidi zaidi nipo mbioni kuachana na anasa nyingine ya kupenda wanawake, changamoto kubwa ktk hili n kuwa sijawahi kukutana na mwanamke aliye commited(naweza kumpenda kwa dhati ila akaja kuntenda baadae) hivyo nakua sipo commited to a girl i be with, ila
Naamin yupo mmoja nlieandaliwa na mungu na nitakutana nae tu naamini katika kipindi kifupi kijacho tujenge maisha.

Kwaheri pombe nilikupenda sana sana tena sana lakini mahala salama pamenipenda zaidi.
M ndiyo naanza rasmi
 
Bro usizingue kwan kipind unaanza ulitutangazia??...
Jibu...ni hapana

Xx iache hvohvo bila kututangazia

Vngnevyo had xx uko baa unakula balimi ya tatu
 
Hahahhaah karibu sana napiga kili ndogo ya nne hapa... Hadi ifike jioni ntakua nishafuta crate
 
Basi Leo jioni tukutane pale Kibobori bar nikupe Serengeti mbili za kuaga
 
Hallelujah
Wakati wa Bwana umewadia
 
Mkuu, binafsi nilijaribu kuacha na baada ya kama miezi minne (bila kunywa ata moja) nilirudi mwenyewe. Nilikuwa nikikaa kichwa kinaniuma bila sababu za msingi, mawazo mawazo tu yasiyo-isha, usingizi wa shida yaan tafrani tu. Hii ilikuwa mwaka 2013.

Pia kipindi hiki cha vyuma kukaza, nilitafakari tena kuacha, ila nikaona nisiache. Nikaamua kujitenga kidogo na kampani kubwa ya kunywa pamoja kwa sababu bajeti hairuhusu, na pia majukumu yangu yameongezeka (utu uzima huu tena). Nimebadili bar, huwa naenda bar ambako hakuna mikusanyiko mikubwa... napiga zangu mbili au tatu then nasepa.

Vilevile naamini pombe za makundi ni mbaya; kuna kujazana sana upepo na hatimaye kufanya mambo nje ya uwezo na ya hatari pia. Since when in a mob, chances to go overboard are high.

Ila kama umeamua kuacha muombe sana Mungu, sio kitu rahisi.

Mungu akusaidie.
 
unaacha pombe, lazma utakuwa umeingia kwenye kaulevi kengine, tumia vilevi vyoote ila hivi kama hukufanya hapo kabla usijaribu ukiwa mtu mzima.

usitumie unga
usijaribu kula Tigo...live it...love it
usiwe mlevi wa wowowo utarudi na tope nyumbani
usijaribu sigara
ulevi mwingine ni ku bet
 
Salam zenu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, Ndgu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inansuta sana.

Niseme tu numeamua kuchana na pombe kutokan na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani

2. Tangu nianze kunywa huu ni mwaka wa 5 sioni faida yoyote zaidi ya hasara kama za kupoteza simu, kupoteza pesa, kupoteza heshima, kupoteza baadhi wa watu wa msingi na sana sana kupoteza utu wangu.

3. Natokea familia ya kimasikin sana hivyo naona kuendelea kunywa pombe n kama naisaliti familia yangu.

4. Nimetathmini kuwa kuendelea kunywa pombe ni kuisaliti nafsi yangu, kumsaliti "my future wife" na pia kuwasaliti wanangu ambao bado wpo kiunoni mwangu( ntapoteza sifa mojawapo ya kuwa baba bora)

Kiufupi sioni faida za kuendelea kunywa pombe, naacha kunywa pombe rasmi hivyo ndgu zngu naomba mnikumbuke ktk sala.

Zaidi zaidi nipo mbioni kuachana na anasa nyingine ya kupenda wanawake, changamoto kubwa ktk hili n kuwa sijawahi kukutana na mwanamke aliye commited(naweza kumpenda kwa dhati ila akaja kuntenda baadae) hivyo nakua sipo commited to a girl i be with, ila
Naamin yupo mmoja nlieandaliwa na mungu na nitakutana nae tu naamini katika kipindi kifupi kijacho tujenge maisha.

Kwaheri pombe nilikupenda sana sana tena sana lakini mahala salama pamenipenda zaidi.
Kuacha pombe ni rahisi....
Kimbembe kipo kwenye kuacha sigara...
 
Jamani mbona unataka kwenda kinyume na Sera ya awamu ya tano "Tanzania ya viwanda"
 
Nafurahi kuona kuwa umefika wakati muafaka na sababu sahihi za kuacha pombe...

uonapo unakwama au vishawishi vya kuacha vinakuzidia karibu pm nitakupa mbinu za kushinda majaribu na utafanikiwa.

Ila tambua hatua uliyochukuwa ni rahisi kutamka ila ngumu kutekeleza kwa vitendo.

Endele kumwomba mungu akupe ujasiri wa kutimiza azma yako njema.

mkuu mwaga hizo mbinu za kimedani jukwaani tupambane na huyu mwovu ibilis manake naona anaelekea kuchukua point zote tatu...
 


*kila napowaza kuacha kunywa bia.....nafikiria wakulima wa ngano na vibarua wao pamoja na familia zao....pia nawawazia sana wafanyakazi wa TBL na familia zao, madereva wa malori ya bia pamoja na familia zao, wanaolipa ada za wanao na kodi za nyumba kutokana na kuendesha malori ya bia, pia nawafikiria ma bar maids na familia zao na wamiliki wa bar ambao wametoa pesa zao kuwekeza ktk uuzaji wa bia*.......haya yote yananigusa sana moyoni nagundua kwamba mi kutokununua bia kunasababisha watu wengne wapate maisha magumu, kufa na njaa au kutotimiza ndoto zao.........
*baada ya hapo nanyanyua glass yangu ya Serengeti lite naendelea kunywa*....
sipendagi ukatili kwa binadamu wenzangu kabisa
 
sijaiona sababu ya msingi hata moja we jamaa imani yenyewe tunafundishwa mpe pombe mwenye shida asahau shida zake unadhan Mungu hajui ok na hizo sababu nyingine nazo hazina mashiko mbona TBl wamevunja bei we unataka kuacha /unaleft where are you lefting to??

Hahahahahahaa we jamaa bna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom