Leo 5/11/2017 naacha pombe rasmi

Leo 5/11/2017 naacha pombe rasmi

Huna sababu ya msingi,,,kikubwa wewe ni kichwa panzi na hukua na nidhamu ya unywaji,,
Btw ukipata hamu kunywa wines,they are for gents
 
Ungeandika ukiwa hauna hangover tungekuelewa.
 
Hongera sana! ni maamuzi mazuri sana! mimi nimetimiza miezi 10 bila kunywa pombe pamoja na kuwa viwanja vyangu ambavyo napenda kuangalia mpira hasa EPL ni baa ambazo wanauza pombe! kila kitu kinawezekana ni kuweka nia tu!
 
Mkuu sema umepumzika pombe kwa muda.....

Pombe haiachwi kirahisi kama unavyodhania.....

safari lager ......serengeti lite....serengeti lager.... hizi bia nazikubali sana....
Na anataka kuilaumu pombe kwa failure zake sio kweli huyu yeye mwenyewe ndo mshindwa pombe haijamsababishia kushindwa malengo aliyojipangia swali je wanywaji wote wameshindwa kama yeye...............!
 
Salam zenu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, Ndgu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inansuta sana.

Niseme tu numeamua kuchana na pombe kutokan na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani

2. Tangu nianze kunywa huu ni mwaka wa 5 sioni faida yoyote zaidi ya hasara kama za kupoteza simu, kupoteza pesa, kupoteza heshima, kupoteza baadhi wa watu wa msingi na sana sana kupoteza utu wangu.

3. Natokea familia ya kimasikin sana hivyo naona kuendelea kunywa pombe n kama naisaliti familia yangu.

4. Nimetathmini kuwa kuendelea kunywa pombe ni kuisaliti nafsi yangu, kumsaliti "my future wife" na pia kuwasaliti wanangu ambao bado wpo kiunoni mwangu( ntapoteza sifa mojawapo ya kuwa baba bora)

Kiufupi sioni faida za kuendelea kunywa pombe, naacha kunywa pombe rasmi hivyo ndgu zngu naomba mnikumbuke ktk sala.

Zaidi zaidi nipo mbioni kuachana na anasa nyingine ya kupenda wanawake, changamoto kubwa ktk hili n kuwa sijawahi kukutana na mwanamke aliye commited(naweza kumpenda kwa dhati ila akaja kuntenda baadae) hivyo nakua sipo commited to a girl i be with, ila
Naamin yupo mmoja nlieandaliwa na mungu na nitakutana nae tu naamini katika kipindi kifupi kijacho tujenge maisha.

Kwaheri pombe nilikupenda sana sana tena sana lakini mahala salama pamenipenda zaidi.
ACHA POMBE ANZA KAMARI NA UMALAYA HAPO NDIO UTAJUA KILA KITU MTU FANYA KWA MALENGO UTAFANIKIWA.LEO NAENDA KUPIGA POMBE ZANGU KAMA KAWA ILA KWENYE POMBE HUKO HUKO NI LAZIMA NIPATE CONNECTIONS ZA MICHONGO NA BIASHARA! KILA KITU KAMA HUJUI JINSI YA KUKBADIRISHA KUWA FURSA ACHA HATA KAMA UNA-BET HALAFU HUPATI HELA ACHA, UMALAYA WA KUTUMIA HELA TU ACHA ILA MIMI POMBE SIACHI NA SIFII MASKINI KAMA MAJIRANI WANGU WASIOKUNYWA POMBE ILA SIONI CHA MAANA WANACHOFANYA
 
Kila la heri mkuu Mungu akusimamie
 
Salam zenu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, Ndgu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inansuta sana.

Niseme tu numeamua kuchana na pombe kutokan na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani

2. Tangu nianze kunywa huu ni mwaka wa 5 sioni faida yoyote zaidi ya hasara kama za kupoteza simu, kupoteza pesa, kupoteza heshima, kupoteza baadhi wa watu wa msingi na sana sana kupoteza utu wangu.

3. Natokea familia ya kimasikin sana hivyo naona kuendelea kunywa pombe n kama naisaliti familia yangu.

4. Nimetathmini kuwa kuendelea kunywa pombe ni kuisaliti nafsi yangu, kumsaliti "my future wife" na pia kuwasaliti wanangu ambao bado wpo kiunoni mwangu( ntapoteza sifa mojawapo ya kuwa baba bora)

Kiufupi sioni faida za kuendelea kunywa pombe, naacha kunywa pombe rasmi hivyo ndgu zngu naomba mnikumbuke ktk sala.

Zaidi zaidi nipo mbioni kuachana na anasa nyingine ya kupenda wanawake, changamoto kubwa ktk hili n kuwa sijawahi kukutana na mwanamke aliye commited(naweza kumpenda kwa dhati ila akaja kuntenda baadae) hivyo nakua sipo commited to a girl i be with, ila
Naamin yupo mmoja nlieandaliwa na mungu na nitakutana nae tu naamini katika kipindi kifupi kijacho tujenge maisha.

Kwaheri pombe nilikupenda sana sana tena sana lakini mahala salama pamenipenda zaidi.
Nimekuja mbio nikajua kweli unaacha.
Kumbe umeleta bango la kusaka mchumba kiaiana

Sababu zooote ulizozitoa ni
[HASHTAG]#utoto[/HASHTAG] tuu#
Nani ka kwambia ukiacha pombe unakuwa tajiri??
Nani kakudanganya pombe inaondoa utu wa mtu?? Labda ulevi



Kajitafakari kwanzaa


Oooooops, kumbe jana watu wamemaliza paper

Kwa wiki moja maada kama hizi tulikuwa tumezipumzika kidogo
 
Nafurahi kuona kuwa umefika wakati muafaka na sababu sahihi za kuacha pombe...

uonapo unakwama au vishawishi vya kuacha vinakuzidia karibu pm nitakupa mbinu za kushinda majaribu na utafanikiwa.

Ila tambua hatua uliyochukuwa ni rahisi kutamka ila ngumu kutekeleza kwa vitendo.

Endele kumwomba mungu akupe ujasiri wa kutimiza azma yako njema.
Ngoja azisake kwanza siku akiziotea msianze wazingizia wachawii

Kulala baa itakuwa kawaida sana
 
TBL WAKIONA HILI BANDIKO WATAUMIA SANA KUPOTEZA FAIDA.

KILA LA HERI MKUU, WENGNE TUNAKUTANA KUNYWA POMBE ILI KUPANGA MIKAKATI YA KIPESA, KWA HYO UNAKUNYWA POMBE ZA ELFU 20 UNAPATA DILI LA M. 2 KIROHO SAFI.

WANAOJUTA UNYWAJI MARA NYINGI HAWAFUATI 'MOTTO' YA KUNYWA POMBE YAANI

"KUNYWA POMBE KISTAARABU"

"UNYWAJI POMBE KUPITA KIASI NI HATARI KWA AFYA YAKO"


ITAWALE POMBE UTAENJOY

[HASHTAG]#TEAMKILAJI[/HASHTAG]
 
Unafikiri kuacha pombe ni kirahisi rahisi hivi tu?

Na ukishatamka tuu hutakaaga uache ng'oo!...we ungenyamaza ukaongea na moyo wako basi
 
Salam zenu wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza, Ndgu zangu nimefikia uamuzi huu kutokana na ushauri mfupi na mzito kutoka kwa kaka yangu na pia kwa kuwa naona nafsi inansuta sana.

Niseme tu numeamua kuchana na pombe kutokan na sababu zifuatazo;
1. Ni kinyume na mafundisho ya kiimani

2. Tangu nianze kunywa huu ni mwaka wa 5 sioni faida yoyote zaidi ya hasara kama za kupoteza simu, kupoteza pesa, kupoteza heshima, kupoteza baadhi wa watu wa msingi na sana sana kupoteza utu wangu.

3. Natokea familia ya kimasikin sana hivyo naona kuendelea kunywa pombe n kama naisaliti familia yangu.

4. Nimetathmini kuwa kuendelea kunywa pombe ni kuisaliti nafsi yangu, kumsaliti "my future wife" na pia kuwasaliti wanangu ambao bado wpo kiunoni mwangu( ntapoteza sifa mojawapo ya kuwa baba bora)

Kiufupi sioni faida za kuendelea kunywa pombe, naacha kunywa pombe rasmi hivyo ndgu zngu naomba mnikumbuke ktk sala.

Zaidi zaidi nipo mbioni kuachana na anasa nyingine ya kupenda wanawake, changamoto kubwa ktk hili n kuwa sijawahi kukutana na mwanamke aliye commited(naweza kumpenda kwa dhati ila akaja kuntenda baadae) hivyo nakua sipo commited to a girl i be with, ila
Naamin yupo mmoja nlieandaliwa na mungu na nitakutana nae tu naamini katika kipindi kifupi kijacho tujenge maisha.

Kwaheri pombe nilikupenda sana sana tena sana lakini mahala salama pamenipenda zaidi.


Mkuu sema tu kuwa Anko Magu kabana sana!

Otherwise hayo ni mambo yako binafsi ya kukwepa kulipa kodi.

FYI pombe huchangia sana uchumi wa nchi kwani hukatwa kodi kubwa.

Anyway good luck
 
Daaah chama kinakimbiwa na wanachama mkuu chukua moja 4 the road chief
 
Dah....usiache kifala hivyo....kwa taarifa yako kwa hiyo miaka 5 umetumia zaidi ya million 17 kama ulikunywa wastani wa bia3 kwa siku.... Cha kufanya sasa tafuta kibubu na uweke pesa ya bia 3 kila siku ....Fanya kwa miaka 5 hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom