Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,643
- 4,182
Wash'kaji eeeeeeeh!
Huku kitaa nimepanga nyumba flani hivi ambayo mabanda ya uani ni madogo sana,na hayana roof ya jipsam wa ceiling_board basi kuna joto kinoumah!
Ila vyumba vya nyumba kubwa ni classic kichizi,ni vikubwa ni self_contained,vina madirisha makubwa kinoumah,tyres za ukweli na jipsam matata usipime!Kutokana na tofauti ya bei,miye nimelazimika kukaa vibanda vya uani kutokana na kipato changu!
Kazi yangu kwa sasa nafundisha twisheni ya masomo ya civics na kiswahili huku kitaa sasa humu ndani kuna mpangaji mmoja binti wa kishua, ye' amemaliza digrii yake, akaunga master's ya maswala ya uchumi, inaonesha wazazi wake wako vizuri kiuchumi!
Alianza kunizoea taratibu,ilakinachonishangaza ni kwamba siku hizi kila akirudi kutoka chuoni lazima aje chumbani kwangu kunisimuliasimulia maswala ya chuo wakati miye sijasomea mambo hayo na mengi wala hayanihusu!
Changamoto zaidi huwa anakuja mishale ya saa moja usiku hadi saa nne,eti anadai anakuja kuangalia taarifa ya habari ya channel 10,wakati miye tv langu ni philips la chogo la kizamani inch 14 baya kichizi, ambapo channel zenyewe kuzipata fresh kwenye king'amuzi mpaka nitikise antena yangu,
room kwangu kuna joto kinoumah,na kwa kuwa sijanunua viti akija hamna pengine pa kukaa zaidi ya kwenye godoro langu la futi 3 kwa sita lililotandikwa chini.
Wakati ye' room kwake kuna hewa safi,ana lg_led flat_screen inch. 26 kali sana,na sofa set matata,na decoder yake ya azam ipo clear.Sasa
hata kama hakuna umeme lazima aje room kwangu na tekniki yake ya " seneta naomba uniazime kile kitabu cha ngoswe nikisome."Nikishampa haondoki,anaanza maswali,"hivi uliniambia kuwa we' ni kabila gani vile?
Halafu nasikia nyie wamakonde hamwezi kutofautisha " m" na "n".Vipi lini waenda mtwara nikuagize togwa ?Halafu ile picha iloipost jana nilitaka kuiweka dp ila nikaona ni bora we mwenyewe nd'o unipe.Halafu mbona profile zako zote za whatsapp, fb, twitter & insta umeweka single&free "Yaani blaaah_blaaaah nyingi!
Kwa kifupi huyu mtoto ni mweupeee! Halafu kajazia figa kama #shamsa_ford ,na sura yake matata kama ya #naj.
Sasa sijaelewa lengo lake ni kuja kuangalia tv tu au?
Huku kitaa nimepanga nyumba flani hivi ambayo mabanda ya uani ni madogo sana,na hayana roof ya jipsam wa ceiling_board basi kuna joto kinoumah!
Ila vyumba vya nyumba kubwa ni classic kichizi,ni vikubwa ni self_contained,vina madirisha makubwa kinoumah,tyres za ukweli na jipsam matata usipime!Kutokana na tofauti ya bei,miye nimelazimika kukaa vibanda vya uani kutokana na kipato changu!
Kazi yangu kwa sasa nafundisha twisheni ya masomo ya civics na kiswahili huku kitaa sasa humu ndani kuna mpangaji mmoja binti wa kishua, ye' amemaliza digrii yake, akaunga master's ya maswala ya uchumi, inaonesha wazazi wake wako vizuri kiuchumi!
Alianza kunizoea taratibu,ilakinachonishangaza ni kwamba siku hizi kila akirudi kutoka chuoni lazima aje chumbani kwangu kunisimuliasimulia maswala ya chuo wakati miye sijasomea mambo hayo na mengi wala hayanihusu!
Changamoto zaidi huwa anakuja mishale ya saa moja usiku hadi saa nne,eti anadai anakuja kuangalia taarifa ya habari ya channel 10,wakati miye tv langu ni philips la chogo la kizamani inch 14 baya kichizi, ambapo channel zenyewe kuzipata fresh kwenye king'amuzi mpaka nitikise antena yangu,
room kwangu kuna joto kinoumah,na kwa kuwa sijanunua viti akija hamna pengine pa kukaa zaidi ya kwenye godoro langu la futi 3 kwa sita lililotandikwa chini.
Wakati ye' room kwake kuna hewa safi,ana lg_led flat_screen inch. 26 kali sana,na sofa set matata,na decoder yake ya azam ipo clear.Sasa
hata kama hakuna umeme lazima aje room kwangu na tekniki yake ya " seneta naomba uniazime kile kitabu cha ngoswe nikisome."Nikishampa haondoki,anaanza maswali,"hivi uliniambia kuwa we' ni kabila gani vile?
Halafu nasikia nyie wamakonde hamwezi kutofautisha " m" na "n".Vipi lini waenda mtwara nikuagize togwa ?Halafu ile picha iloipost jana nilitaka kuiweka dp ila nikaona ni bora we mwenyewe nd'o unipe.Halafu mbona profile zako zote za whatsapp, fb, twitter & insta umeweka single&free "Yaani blaaah_blaaaah nyingi!
Kwa kifupi huyu mtoto ni mweupeee! Halafu kajazia figa kama #shamsa_ford ,na sura yake matata kama ya #naj.
Sasa sijaelewa lengo lake ni kuja kuangalia tv tu au?