mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Kwenye moja ya video amejirekodi Floyd mayweather akiwa kwake kwenye room fulani huku ukutani Kuna kitu Kama mlango lakini ni tv 3,zipo 2 kwa hiyo jumla zinaonekana Kama tv 6.je hizo Ni Tv au ni kifaa gani na Kama Ni Tv ni Aina gani?
Au ni projector tu?
Ahsanteni
Au ni projector tu?
Ahsanteni