Je, hii ni tv au ni program gani?

mikedean

JF-Expert Member
Mar 15, 2018
3,255
4,599
Kwenye moja ya video amejirekodi Floyd mayweather akiwa kwake kwenye room fulani huku ukutani Kuna kitu Kama mlango lakini ni tv 3,zipo 2 kwa hiyo jumla zinaonekana Kama tv 6.je hizo Ni Tv au ni kifaa gani na Kama Ni Tv ni Aina gani?

Au ni projector tu?
Ahsanteni
IMG_20210109_220536.jpg
 
Sina uhakika mkuu ila TV za kisasa zina uwezo wa kusplit video input, mfano kama una dstv unaweza kuigawanya ikaonesha chanell mbili tofauti.

Kuhusu Muonekano kampuni nyingi kama Samsung na Tcl unaweza tumia baadhi ya TV zao wima, unaigeuza tu.

Samsung-Sero.jpg


Kwa ku guess pengine ni Samsung Sero, maana bei zake Zinaendana Na mentality Ya huyo jamaa.
 
Sina uhakika mkuu ila TV za kisasa zina uwezo wa kusplit video input, mfano kama una dstv unaweza kuigawanya ikaonesha chanell mbili tofauti.

Kuhusu Muonekano kampuni nyingi kama Samsung na Tcl unaweza tumia baadhi ya TV zao wima, unaigeuza tu.

Samsung-Sero.jpg


Kwa ku guess pengine ni Samsung Sero, maana bei zake Zinaendana Na mentality Ya huyo jamaa.
Ahsante, kwa kweli teknolojia inakua kwa kasi.
 
Kwenye moja ya video amejirekodi Floyd mayweather akiwa kwake kwenye room fulani huku ukutani Kuna kitu Kama mlango lakini ni tv 3,zipo 2 kwa hiyo jumla zinaonekana Kama tv 6.je hizo Ni Tv au ni kifaa gani na Kama Ni Tv ni Aina gani?

Au ni projector tu?
AhsanteniView attachment 1673190
ni Vertical video wall(hua ni multi monitor setup) either kwa kutumia multiple computer monitors,tv's ama projectors
download.jpeg.jpg
images.jpeg-14.jpg
images.jpeg-13.jpg
images.jpeg-12.jpg
 
Back
Top Bottom