kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Haya maisha tunatoka mbali sana aisee.....
Miaka ya 2000 ndo tv zimeanza kushika kasi kijijin walokua na tv ni wachache sana
Basi nakumbuka kuna jirani yetu ndo alinunua tv
Kuna siku tumeenda kuangalia mpira akagoma kutufungulia halafu mvua ilikua inanyesha ilibidi tuangalie na dirishani nilinyeshewa na mvua hadi nikaugua homa
Kuona hivyo haikupita miezi 3 mzee wangu akanunua tv mambo ya kuangalia tv za kwa watu yakaisha ikawa na sisi watu wanakuja kwetu
Maisha haya nikikumbuka hili jambo nacheka sana.. Haya maisha haya
Tuambie ilishawahi kukutokea kuangalia tv za majirani enzi hizo, ni adha gani ilikukumba na ni masharti gani uliwahi kupewa?
Miaka ya 2000 ndo tv zimeanza kushika kasi kijijin walokua na tv ni wachache sana
Basi nakumbuka kuna jirani yetu ndo alinunua tv
Kuna siku tumeenda kuangalia mpira akagoma kutufungulia halafu mvua ilikua inanyesha ilibidi tuangalie na dirishani nilinyeshewa na mvua hadi nikaugua homa
Kuona hivyo haikupita miezi 3 mzee wangu akanunua tv mambo ya kuangalia tv za kwa watu yakaisha ikawa na sisi watu wanakuja kwetu
Maisha haya nikikumbuka hili jambo nacheka sana.. Haya maisha haya
Tuambie ilishawahi kukutokea kuangalia tv za majirani enzi hizo, ni adha gani ilikukumba na ni masharti gani uliwahi kupewa?