Gorilla Zoo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 257
- 412
Mkuu binafsi sijaona starehe inayonipa faraja zaidi katika maisha kama pombe.
Hahahaaa! wasalimie kina mtakatifu Carzola....Haha sisi tunaita M.at.ak# bar sahvi hapa parking ni tatizo barabara inapanuliwa. Karibu mkuu tena.!
Matako bar muhimu mkuu!!Kwamba lazima Unye hapo mkuu.
Ah ah ah ah ahLa kuongezeaaa....
Kuna Bar zina pombe Tamuu balaa...
Yaani ukishagundua bar flani ina pombe tamuu..hata bar iwe wapi utaifuata tuu.....though Bia ni ile ile ya kilimanjaro!
Mimi kile kiosk nakunywaga bia sitaacha..
Ah ah ah ah ahMimi hapo kwenye ubondia pananihusu sana,yaani mtindi ukikolea tu lazima nilizue varangati.
Na hivi ubavu mdogo,basi nimejaa ngeu uso mzima!.
ngoja tuache za kwenye bottle au?Kipo kitabu kimeandikwa ''MY DEAR BOTTLE'',
Mwandishi kaeleza zaidi hasara zilizowapata watumiaji wa pombe,
Hakuna bingwa wa pombe,wengi wamepoteza malengo yao katika kuendekeza unywaji wa pombe.
Hivi Shida husahauliwa au hutatuliwa?Kwenye mada yako tayari umeelezea lengo, ikiwemo kusahau shida, kutoa uzuni nk, sasa unataka maelezo yapi tena?
Pombe ni upumbavu tu wa kidunia, pombe imewekwa makusudi ili watu wasijitambue. Ukitaka kufanya mambo makubwa hapa duniani inabidi ubaki kwenye uhalisia wako na kwa bahati mbaya sana pombe inaondoa huo uhalisia japokuwa unaweza ukawa sio mtumiaji wa pombe na bado ukawa hujitambui lakini lengo la pombe ni kukufanya uwe mtumwa wa mind yako yaani kutawaliwa na hisia zako.Pombe ni lishe,kinywaji na chakula kinachopendwa sana na mamilioni ya wanadamu duniani kote.
Mtu anapokunywa pombe,humsahaurisha (kwa muda) na matatizo, msongo wa mawazo, madeni, shida, unyonge/upweke na kujiona yeye yupo juu ya mbingu na nchi.Mlevi/mnywaji hujiona yeye ni yeye, yeye ni raia namba moja hapa duniani. Wengi hupenda kunywa pombe nyakati za jioni.Kwa hapa Tanzania, pombe hunywewa zaidi ya soda.
Kuna ambao wakinywa pombe,huanza kuongea kiingereza mpaka kichina...na kuna ambao hugeuka mabondia!
Pombe humkumbusha mtu mambo mengi ya zamani na huleta hisia kali. Pombe huleta ujasiri.
Japokuwa pombe huleta hasara kiuchumi, imekuwa n vigumu sana watu kuacha/kupunguza pombe. Na mara nyingi wanywaji wengi hubajetia pombe toka kwenye mishahara (vipato) vyao,hata kama mshahara/kipato kiduchu namna gani.
Kwe wanaotumia pombe, unafikiri nn lengo la kunywa pombe?
Nawasilisha.
Kifinga mrembo,nipo maeneo ya Tabata kwa Mlunga,uniPM basi tukachafue meza pale ukiwa na wasaa.kuna kiwanja kipya tabata bia zake tam sana