L lumumba junior Member May 23, 2014 48 20 May 23, 2014 #1 hivi naomba kujua hizi machine za electronic fiscal devise zina lengo gani kwa wafanyabiashara au nikutukata mapato mpaka faida tunazopata?
hivi naomba kujua hizi machine za electronic fiscal devise zina lengo gani kwa wafanyabiashara au nikutukata mapato mpaka faida tunazopata?
Manjagata JF-Expert Member Mar 7, 2012 11,601 11,915 May 24, 2014 #2 Wala haisumbui Mkuu, mbona jamaa yanatuandikia hela pungufu? Unalipa 1 m unapewa risiti ya 125,000/=! Wizi mtupu!
Wala haisumbui Mkuu, mbona jamaa yanatuandikia hela pungufu? Unalipa 1 m unapewa risiti ya 125,000/=! Wizi mtupu!