Lembeli: Muhongo anaiangamiza CCM

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
27,153
Reaction score
27,729
Kada maarufu wa CCM ambaye pia ni mbunge wa Kahama na mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na utalii, Dr James Lembeli ametahadharisha kwamba kitendo cha Prof Muhongo kutowajibishwa au yeye mwenyewe kutoachia madaraka kwa hiyari, kitaiua CCM kabla hata uchaguzi wa mwaka huu haujatangazwa.

Kada huyo amemtaka rais kikwete kumfuta kazi muhongo ili kuinusuru CCM na chuki dhidi ya wananchi na hatimaye kufa kabisa baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa oktoba, 2015. Ametolea mfano wa Mwinyi na Lowasa waliowahi kuachia ngazi na hivyo kumshauri mhongo afuate mkondo huo endapo JK atagoma kumfuta kazi.


Chanzo: Nipashe

:israel:
 
tpaul wapotee hao tufanye yetu CHADEMA Lembeli ni mtu hatari sana ni kigeugeu asiye na msimamo thabiti hata ndani ya chama chake kwangu mimi namchukulia kama popo! Usishangae akiona anguko la ccm ni dhahiri akageuka na kuwa mwanaukawa tena mzungumzaji hasa
 
Last edited by a moderator:

hayo makapi ya kutoka CCM kama linataka kuja huko na lije tu , Muhongo ni mmoja wa watu ambao watanzania tulikuwa tunawahitaji muda mrefu sana, acheni wivu wenu.
 
Last edited by a moderator:
Lembeli kaisha hana jipya atafute pakutokea mwaka huu hachaguliki tena ndiyo maana anahaha kama anataka kutaga mpeni pole sana siasa siyo mafungu saba.
 
Lembeli ni matehemu anayetembea mtakumbuka maneno yangu punde twendeni sawa atalia sana mwaka huu hata iweje hatoki.
 
hayo makapi ya kutoka CCM kama linataka kuja huko na lije tu , Muhongo ni mmoja wa watu ambao watanzania tulikuwa tunawahitaji muda mrefu sana, acheni wivu wenu.
Tena liondoke saa nane za usiku ili liondoke na nuksi zake zote anadhani kuwa na nywele nyeupe ndiyo kupewa uwaziri jk haangalii nywele bali anaangalia uwezo.
 

CCM mnashangaza sana. Mtu anayesema ukweli mnamkejeli na kumuona hana maana. Ila wale mafisadi ndio mnawaona wana maana. Chama kinazidi kujifia.
 
Last edited by a moderator:
hayo makapi ya kutoka CCM kama linataka kuja huko na lije tu , Muhongo ni mmoja wa watu ambao watanzania tulikuwa tunawahitaji muda mrefu sana, acheni wivu wenu.

Ni mtazamo tu..! Wivu tuwaachie mama zetu
 
Tena liondoke saa nane za usiku ili liondoke na nuksi zake zote anadhani kuwa na nywele nyeupe ndiyo kupewa uwaziri jk haangalii nywele bali anaangalia uwezo.

lembeli anasumbuliwa na frustrations, miaka yote ya ubunge hata nyumbani kwake hajafanya kitu achilia mbali kwa wananchi wake. Anatumiwa na Wapinzani ili kudhoofisha majembe ya JK ili CCM ionekane haijafanya kitu
 
hayo makapi ya kutoka CCM kama linataka kuja huko na lije tu , Muhongo ni mmoja wa watu ambao watanzania tulikuwa tunawahitaji muda mrefu sana, acheni wivu wenu.

Akili za kupe hizi. Ng'ombe anachinjwa kupe hana habari, ngozi inachunwa kupe hana habari, ngozi inawambwa kupe hana habari... Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka.. haaaa kumbe ng'ombe kafa!!!

Siku ukija kujua ukweli utakuwa umeshachelewa sana mkuu..
 
Tena liondoke saa nane za usiku ili liondoke na nuksi zake zote anadhani kuwa na nywele nyeupe ndiyo kupewa uwaziri jk haangalii nywele bali anaangalia uwezo.


Duh ndo umeandika nini hiki? unaacha kuhangaikia mafuriko ya kule kwenye kibanda chako kwa mikatio unapoteza mda kuandika utumbo hapa...

You are too low!!!
 
Tena liondoke saa nane za usiku ili liondoke na nuksi zake zote anadhani kuwa na nywele nyeupe ndiyo kupewa uwaziri jk haangalii nywele bali anaangalia uwezo.

Jk ndio hana uwezo, tezi dume nalo limemuharibia kabisaaaaaa, anachoweza ni kuchekacheka tu.
 
Tena liondoke saa nane za usiku ili liondoke na nuksi zake zote anadhani kuwa na nywele nyeupe ndiyo kupewa uwaziri jk haangalii nywele bali anaangalia uwezo.
Mbona unakesha humu na mapovu yanakumiminika ukimtetea fisadi mwenye nywele nyeupe kama za lembeli ? Njaa ni hatari sana unatumika bila kujijua .
 
Jk ndio hana uwezo, tezi dume nalo limemuharibia kabisaaaaaa, anachoweza ni kuchekacheka tu.
JK ni jembe maneno yote haya ni ya kumgwaya tu na si vinginevyo, mtamkumbuka sana baba wa demokrasia afrika nzima, enzi za Mkapa mlikuwa hambwabwaji hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…