samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
mbunge wa kahama james lembeli amewashangaawabunge wanao jadili na kunyoosheana vidole juu ya maandamano na migomo inayoendelea hapanchini na kusema tanzania sio kisiwa kwa kuwa maandamano na migomo vinatokea duniani kote. Lembeli amesema migomo ilikuwepo angu enzi za mwalimu na kuna watu waliochapwa viboko lakini leo hii wako bungeni na ni viongozi safi. Amesema inasikitisha kuona wanafunzi wanapanga msitari kwa zaidi ya masaa matatu halafu wakiingia benki wanaambiwa pesa hazijaingia. Katika mazingira kama hayo lembeli amesema hata kama angekuwa yeye asingekaa kimya angelalamika hivyo serrikali inapaswa kuhakikisha wanafunzi wanaostahili mkopo wanapatiwa mikopo yao kwa wakati ili kuepusha migomo na maandamano. Amewataka wabunge wache kujadili masuala hayo kwa kua sio kitu kigeni.<br><br>source: bungeni dodoma.