Lema: Tutawalazimisha serikali kufanya kazi na huduma katika jiji la Arusha

hizo ni sera zenu za ccm uongouongo kazi ni moja tu peleka uchafu kwa mkurugenzi halafu atajijua wakati wa nyerer kulikuwa na kauli ya nguvu kazi sasa ndio hiyo:confused2:
Hivi Lema ni mzima kweli kila sehemu anataka kutumia ubabe tu.

Hizo takataka ukizipeleka ofisini kwa mkurugenzi ndiyo tatizo litaisha.

Kwani usikae na mkurugenzi mlitatue ili suala kuliko kuleta vitisho.
 
Hivi Lema ni mzima kweli kila sehemu anataka kutumia ubabe tu.

Hizo takataka ukizipeleka ofisini kwa mkurugenzi ndiyo tatizo litaisha.

Kwani usikae na mkurugenzi mlitatue ili suala kuliko kuleta vitisho.
We unamuona Lema mzima? Ukitaka kujua tabia ya mtu basi tazama historia yake. Kwakweli swala la kupimwa akili kabla ya kupewa uongozi ni jambo la muhimu sana.
 
Laiti kama CCM wangekuwa wanapenda kusikiliza jambo lolote lenye nia na malengo ya kusaidia wananchi wa chini. Siku zote CCM wako tayari kusikiliza jambo ambalo mwisho wa siku lina manufaa kwa wachache. Lema ameamua vyema na tunamuunga mkono!! Muda utaamua.... tuendelee kusubiri
Hivi Lema ni mzima kweli kila sehemu anataka kutumia ubabe tu.

Hizo takataka ukizipeleka ofisini kwa mkurugenzi ndiyo tatizo litaisha.

Kwani usikae na mkurugenzi mlitatue ili suala kuliko kuleta vitisho.
 
Hata Gaddafi alikuwa na mwazo hayo hayo!! Alifikia mahali akawaita wananchi wake mende!! Kilichomtokea unakijua. Sasa hivi Assad naye unamsikia, kitakachomtokea anakifahamu ila kiburi cha kutawala na uchu wa madaraka unamfanya awe tayari kutumia hata silaha za moto kupingana na raia wake. Muda utaamua... Lema endelea kupanga kikosi, mpaka kieleweke!!! Lazima wasimame kwenye mstari. Ifikie mahali mtu akitaka uongozi ajipange sawasawa si kuamka asubuhi unajikuta eti mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya hata wilaya yenyewe huijui simply because you have close relationship with some people up there!! Itafahamika tuuu....
We unamuona Lema mzima? Ukitaka kujua tabia ya mtu basi tazama historia yake. Kwakweli swala la kupimwa akili kabla ya kupewa uongozi ni jambo la muhimu sana.
 
wanaharakati walioitwa wachochezi na walifanikisha azma zao.
1.nyerere
2.kenyata
3.kwame nkuruma
4.nelson mandela
5.mahlangu
6.steve biko
7.indira gandhi.
8.martin ruther king
na hawa wote waliitwa wachochezi wavunja amani na nchi zao zote zilifanikiwa kupata uhuru kutoka mikononi mwa wezi wachache watawala wa wakati huo.
sasa dr slaa nayeye atafanikiwa kuirejesha nchi mikononi mwa wananchi, kutoka mikononi mwa watawala wachache wezi wa rasilimali za taifa (ccm)mapambano ndio yanaanza ccm fungeni mikanda hakuna kulala lazima tuwaondoe tu.
 
yani kama mtaani kwetuu kumechafuka na vikaratasi vya viroba na valuer mpaka keroo... huu utaratibu wa kila duka kuwa na dustbin umeisha makali.... Baba lema uangalie na hiloo...

kwani hapo mtaani kwenu hamuwez kujikusanya mkafanya usafi hadi mtegemee jiji? Uzalendo upo wapi??
 
Sioni sababu ya kutoa taka zilipokuwa na kwenda kumwaga mbele ya ofisi!!!
 
Hivi Lema ni mzima kweli kila sehemu anataka kutumia ubabe tu.

Hizo takataka ukizipeleka ofisini kwa mkurugenzi ndiyo tatizo litaisha.

Kwani usikae na mkurugenzi mlitatue ili suala kuliko kuleta vitisho.
hivi ni lini serikali ya kikwete imefanya kazi bila kusukumwa?
 
Hivi Lema ni mzima kweli kila sehemu anataka kutumia ubabe tu.

Hizo takataka ukizipeleka ofisini kwa mkurugenzi ndiyo tatizo litaisha.

Kwani usikae na mkurugenzi mlitatue ili suala kuliko kuleta vitisho.
Nadhani wewe ndy mgonjwa,yah!ni kweli kuzipeleka ndy dawa huoni tayari hata kabla ya tarehe tayari mkuu wa mkoa ameanza utekelezaji?na ndy maana ametoa muda
 
" Ninatoa Mwezi mmoja tu nataka Halmashauri ya Jiji la Arusha iwe safi na hii kazi Mkurugenzi anapaswa kuifanya kwa haraka sana na sioni na siko tiyari kupewa sababu yeyote ile ya kwa nini Arusha ni Chafu.

N
a baada ya mwezi mmoja Mimi Mbunge nitaanza kukusanya takataka mjini na kumpelekea Mkurugenzi ofisini kwake ili kama Hazioni wananchi wamsaidie kuziona na ninaomba Wananchi wote nitakapotangaza tarehe hiyo mjitokeze kwa wingi ili tuwasaidie Jiji kukusanya Takataka na kumwaga mbele ya ofisi zao ili wajue kwa uhalisia kero ya uchafu Mjini .

Sasa kazi ni kwa vitendo na hakika najua Serikali ni lazima iwajibike kwa watu wa Arusha .


Godbless Lema


vitendo viwe pambo lako sio maneno polojo
Kazi njema
 
A person who doesn't want to devote much of his/her time in fulfilling a particular asigned job on his Or her own accord, got to be dragged like an ox.
Lema, do not hold on.
There you are!!!!
keep on moving with da same pace!!
Certainly, for an imbecile person to become fully acquainted with his/her natural settings,needs what's proclaimed as an early intervention as soon as possible.

No sooner had he "MP" declared his ambitions over the city's sanitation than the government officials gone on air addressing the same phenomenon.

why this now?,and why not before?

Shame on you,guys!!!!
For how long shall people keep on reminding outclassed leaders like you and mounting pressures on you for an act that you are paid for?


Lema, fear no body but act as what your voters wanted you to do!!!!
Drag them all!!!!
 
Hivi Lema ni mzima kweli kila sehemu anataka kutumia ubabe tu.

Hizo takataka ukizipeleka ofisini kwa mkurugenzi ndiyo tatizo litaisha.

Kwani usikae na mkurugenzi mlitatue ili suala kuliko kuleta vitisho.

Haiwezekani kila tatizo watu wakae na mkurugenzi, hii si siasa Mkurugenzi ni mtendaji. Jiji ni lazima liwe safi kwa njia yeyote ile kwani analipwa kwa ajili ili aongoze halmashauri (to be a leader you have to see what those you lead can not see) atajuta kama hana qualifications za kuwa kiongozi (kama ilivyo kwa viongozi wengi wanaoteuliwa na MSHUA)
 
kwani hapo mtaani kwenu hamuwez kujikusanya mkafanya usafi hadi mtegemee jiji? Uzalendo upo wapi??

We unafikiri kwa nini jiji ni chafuu.. sio swala la uzalendo bob.. maduka yanauza viroba alafu hakuna dustbin unataka watu watembee na hayo makaratasi ya viroba? MIPANGO YA USAFI IKIWEPO NDO UTAONA UZALENDO
 
Back
Top Bottom