kwanza kwangu mimi nilishindwa kabisa kuelewa pale lema aliposema kikwete ndio chanzo cha udini,kwa sababu tu hajatoa tamko kuhusiana na serikali kukabali wakristo wachinje,hivi LEMA hajui kuwa waislamu wana madai mangapi ya msingi kwa serikali na hakuna hata moja limetekerezwa kihalisia?hapa ndipo huwa nakubali kuwa CHADEMA inahitaji sana nguvu ya wakristo ili iingie madarakani,kwani kila ajambo ambalo limegusa ukristo cahdema wankuwa na nguvu nalo sana kulitetea na kuisema serikali kuwa ina udini,maaskofu ktk waraka wao kwa serikali kutokana na haya yanayosemwa nanukuu, wanasema ya kwamba serikali hii inawapendelea sana wakristo na wataambia waumini wao ya kwamba wasiikubali na waiondoa madarakani, baada ya kauli hii LEMA anaibuka na kusema ya kwamba kikwete ni muasisi wa udini(yaani anawapendelea waislamu),inashangaza ukiangalia takwimu sote za viongozi wa taasisi ya serikali wakristo wapo juu,ukiangalia maamuzi ya jeshi la polisi kwa waislamu ni makubwa kuliko kwa wakristo,angalia watuhumiwa wa kuvunja makanisa hakupewa dhamana, ila waliovunja msikiti TUNDUMA wote wapo nje kwa dhamana,ukiangalia mashekh wananyimwa dhamana eti uchochezi,lakini walio chochea vurugu tunduma pamoja wapo nje na hawajashikwa,katika suala la ushirikiano wa makanisa na serikali(MOD)kikwete aliwambia waisalmu ya kwamba wamechelea hivyo hawawezi kupata msaada huo, suala la uchaguzi maaskofu wao ndio walimsema kikwete ni chaguo la MUNGU,sasa wapi kikwete kawabeba waislamu???
CHADEMA mbinu yao kubwa ni kutumia neno udini kwa maana ya uislamu, huku wao ndio wadini wakubwa.
CHADEMA mbinu yao kubwa ni kutumia neno udini kwa maana ya uislamu, huku wao ndio wadini wakubwa.