Lema 'pasua kichwa' CHADEMA

Lema 'pasua kichwa' CHADEMA

uhuru? Katika serikal ii ya cCM hakika kesho yetu ipo matatani.mbna ni jana tu nimetoka kuwaona wanachuo walivyochapika kwa kudai haki zao,gazeti linamchafua mtu mmoja mmoja kwa kauli za kiuwanamapinduzi kama za lema, Msingwa,we unafikiri nani anataka uu upuzi? Hata wakificha ukwel teyari tumeshajua
uHURU=uTUMWA
Try again later!
 
Hatutaacha kuandamana mpaka kieleweke, hawa wa xxxxxx$# wa uhuru na magamba wamezoea siasa rojorojo, ngoja tuwape siasa ngumu kama Igneous rock mpaka watapike nyongo zao, mapafu, pancrease na doudenum zao. lema big up
 
UHURU ni gazeti la unafki sana $$$v^& ()6^n zao, ni aibu sana kwa mwandishi wa habari aliyesomeshwa na kodi za watz maskini anapotumia elimu yake kuwadanganya na kuwaibia waTz kama wanavyofanya hawa waxxxx^^() wa uhuru,wamekunywa sumu kali sana na inawamaliza taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu bila wao kujua. Hatutaacha kuandamana mpaka kieleweke, hawa wa xxxxxx$# wa uhuru na magamba wamezoea siasa rojorojo, ngoja tuwape siasa ngumu kama Igneous rock mpaka watapike nyongo zao, mapafu, pancrease na doudenum zao.watanzania tumeamka sikunyingi na tunaungana na Mh lema kuwa hatutaacha kuandamana mpaka maskini waTz atakaposikilizwa, sisi kwa pa1 tutaandamana usiku na mchana mpaka vijana waTZ Watakapopata ajira rasmi na sio hizi za jk za kuokota makopo ya maji ya uhai, sayona, masafi n.k barabarani. lema big up
 
that is the way its hata wakiandika vipi safari hii kamwe haisimami hapa, wabunge wa kupiga meza miaka zaidi ya 40 ya uhuru wanapiga meza tu??
 
UHURU ni gazeti la unafki sana $$$v^& ()6^n zao, ni aibu sana kwa mwandishi wa habari aliyesomeshwa na kodi za watz maskini anapotumia elimu yake kuwadanganya na kuwaibia waTz kama wanavyofanya hawa waxxxx^^() wa uhuru,wamekunywa sumu kali sana na inawamaliza taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu bila wao kujua. Hatutaacha kuandamana mpaka kieleweke, hawa wa xxxxxx$# wa uhuru na magamba wamezoea siasa rojorojo, ngoja tuwape siasa ngumu kama Igneous rock mpaka watapike nyongo zao, mapafu, pancrease na doudenum zao.watanzania tumeamka sikunyingi na tunaungana na Mh lema kuwa hatutaacha kuandamana mpaka maskini waTz atakaposikilizwa, sisi kwa pa1 tutaandamana usiku na mchana mpaka vijana waTZ Watakapopata ajira rasmi na sio hizi za jk za kuokota makopo ya maji ya uhai, sayona, masafi n.k barabarani. lema big up​
 
Uhuru nalo gazeti?wanauzia wapi vile?
Lema ni mbubge wa AR wenyewe waliomleta wanamwamini bado
pilipili uzozila zawawashia nini
 
uhuru, uhuru, uhuru, likoje hilo gazeti?????????? maana nina miaka sijaliona, linafananaje? risasi, sani, ijumaa,al nuur, kiu au??
hata kama silijui, its just a crap.
 
Kumbe source Uhuru!!! Magamba kazini. Tutaandamana mpaka kieleweke.big up kamanda Lema.
 
Mwandishi asingettuambia source ya habari hii nilikaribia kuivunja kompyuta kwa hasira. Nimepoa baada ya kuambiwa source ni uhuru, maana kilichoandikwa ni kunyume, bila shaka mbunge asiyetajwa jina ni wa ccm wanajifanya ni wa cdm. Lema kaza buti, Wadau kibao tunakufagilia in fact you are my role model.
 
Asiyeeamini maandamano ndio silaha pekeee kufikia demokrasia ya kweli.. Amerika walipitia huko toka wanawake hawaruhusiwi kupiga kura, ubaguzi wa rangi mpaka jusi raisi wa kwanza muafrika Obama anaingia ikulu.. Leo ukimuuliza George washington kama Amerika ina raisi mweusi atabisha tuu.. LAKINI MIMI BADO NAAMINI Maendeleo hayatakuja wala demokrasia bila ya watu kuacha woga na kuwa tayari kufa kwa ajili ya kesho
 
Namjua vizuri Lema ni pumba sana, upeo wake wa ufahamu ni mdogo sana, ni mtu wa Controversy kila wakati sijui huyo ubunge kaupataje
kama alivyoupata pinda, komba, vicky kamata, nyangwine na wengine kibao!
 
**** uhuru newspaper,CEO, its writers ,publishing compay,and who support this muther****er newspaper ,,,,**** you tooo!!!!!! all who read this ****en paper **** them
 
Km maandamano yana tihja au hayana nakupa assignment......nenda kawaulize ivory coast baada ya hapo nenda tunisia, nenda misri, nenda yemen halafu njoo na jibu sio kuuliza maswali yasiyokuwa ya msingi............

Naona umesahau Palestina na waliostaarabika kama Ufaransa, na nikichukulia kuwa nasi ni wastaarabu nahisi huo usiku na mchana utakuwa mrefu.
 
Kama tz ingekuwa inahofu yanayotokea somalia na alshababu basi wasomali km bashe wangekuwa walisha fukuzwa ccm na tz............hao mafisadi wanawadanganya nanyi mnadanganyika..........ila kwa kuwa huwezi kudanganya watu wote wakati wote isipokuwa unaweza kudanganya baadhi ya watu wakati fulani basi wewe ni mmoja wa hao baadhi lakini watz wa sasa sio wale wa danganyika tena.......................

Kina Sabodo jee?
 
kama alivyoupata pinda, komba, vicky kamata, nyangwine na wengine kibao!
mkuu, kwa jinsi mchakato ulivyokuwa hapa arusha, lema kupa ubunge huwezi kulinganisha na na mbwa hao juu..na pengine ni kumdhalilisha mfano kumfananisha na jinsi alivyo upata ubunge huyu mke wa jk (vicky)..lema aliandamwa na vyombo vya dola tangu wiki ya 1 ya kampeni mpak leo sijaona mbunge mwingine aliepata misukosuko kama lema..na wanaarusha ndiyo waliompigania, vinginevyo angeusikia tu..
 
CCM bwana . Yaani JF ni mahali pa kuja kuleta hoja za kukijenga chama chenu lakini bado mnakuja na akili za ki Nape Nape . Vurugu ipi ambayo Chadema wanayo leta ? Kuwapa wananchi elimu ya uraia imekuwa issue ? Baadaye mtasema JF badala ya kusema JF members hawaipendi CCM . Wekeni hoja hapa acheni vioja .
 
There times and situations we need people like Lema, he is new in the parlianment, he needs to learn and get used...
 
Back
Top Bottom