Huu ndio udikiteta uchwara jela kwa kosa gani?kwani ana kesi za kujibu?inaonekana hata watoto wako unawalea kwa iron rule na umatuharibia generations ya watu wenye upendo,haki na wajibuAkitua airport tu, moja kwa moja jela
Huu ndio udikiteta uchwara jela kwa kosa gani?kwani ana kesi za kujibu?inaonekana hata watoto wako unawalea kwa iron rule na umatuharibia generations ya watu wenye upendo,haki na wajibuAkitua airport tu, moja kwa moja jela
Dada upoo!??!Karibuni nyumbani nyote mliokimbia utawala dhalimu... Manji, Lissu n.k
Turudi kuijenga Nchi yetu, Tanzania ni yetu sote.
Acha maneno mbofu mbofu we kiroboto.Na kuolewa Canada aolewe nani ukirudi?