Lema na Nassari sasa toeni ushahidi uliobaki ikiwemo "print out" ya mazungumzo ya simu

Mnyeti alishakubali haina haja tena. Game imekwisha
Magu akiwatumbua akina mnyeti hawa watakuja na mapambio kumpongeza
 
Mkuu kisu kimeshakita mfupa, ndio vilio vitasikika toka kila sehemu.
 
Kesi tayari iko PCCB na ushahidi wote uliusikia na unaoutaka uko pale. Waambie PCCB waufanyie kazi haraka kama unavyotaka iwe. Na wasisite kutangaza walichobaini na hatua watakazochukua.
 
Wamesema hii ni kama tamthilia ya isidingo, inatolewa kidogo kidogo.
 
Sasa mzigo si upo TAKUKURU....?? Mbn mnalialia..?? Wao Takukuru ndo watasema huo mzigo ni wa kitoto au kikubwa.

Nyie ni GREAT THINKERS bana. Msiyumbishwe na maneno ya kujitetea ya hao madiwani. Wat if ikija kuthibitika ni kweli..?? Mtaficha sura zenu wapi, kwny makalio au..??

Acheni Takukuru wafanye kazi yao.
 
Haisaidii chochote. Cha msingi wakae chini wajipange kujenga chama chao. Waelekeze fikera zao katika kuhudumia wananchi, waache siasa za mipasho.
Kujenga chama ni pamoja na Kuzuia Madiwani wao kuhama ikiwamo kugundua sababu na mbinu chafu ianayowafanya wahame
 
Kujenga chama ni pamoja na Kuzuia Madiwani wao kuhama ikiwamo kugundua sababu na mbinu chafu ianayowafanya wahame
Madiwani wanahama kufuata siasa safi. Kama chama chao kinegekuwa kina siasa safi madiwani wasingedhubutu kuwasaliti. Angalia CCM baada ya uchaguzi wa mwaka juzi, nani kahama? Wanazidi kujizolea wanachama lukuki.
 
Madiwani wanahama kufuata siasa safi. Kama chama chao kinegekuwa kina siasa safi madiwani wasingedhubutu kuwasaliti. Angalia CCM baada ya uchaguzi wa mwaka juzi, nani kahama? Wanazidi kujizolea wanachama lukuki.
Watahamaje wakati ndiko kwenye hela zote za Nchi ziko hapo??
 
Watahamaje wakati ndiko kwenye hela zote za Nchi ziko hapo??
Wahenga walisema ukitaka kumla nguruwe chagua aliyenona. Kwa nini basi hao madiwani wasiende kwenye hela? Ni nani nchi hii hapendi pesa? Waambieni hata hao akina Lema wajiunge na chama tawala watapata pesa.
 
Ninaamini sasa makamanda vijana watalipua bomu kuu kuliko yote wait tick---tick --tick--
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…