Lema na Msofe kituko Arusha!


subiri utoke Mirembe uje ukoment vizuri
 

hawakushiri si hata kwa kutoa mchango, bali hata kuhimiza wananchi kuijenga badala yake walikuwa wakihubiri kwa hao wananchi kutokushiriki ujenz huo. LEMA AMEUZA AMBULANCE YA WAGONJWA NDO AJENGE HOSPITALI?
 
Hakuna source inaitwa magazeti asubuhi, sema gazeti la Uhuru!
 
Hadi uwe mtumiaji wa dawa za kulevya ndo utaweza kumuelewa Mh. Lema.

Umeongea vema maana si unajua navyotumiwa kuuza madawa ya kulevya na mtoto wa mkuu wa kaya. Kweli huwezi elewa wewe maana unaelewana na watumiaji madawa tu. Arusha mlishakaa chini siku nyingi. Nilikutana na chatanda juz nikamuuliza ccm mbona mmeshindwa Arusha akajibu watu wa arusha hawaeleweki. Hii n kauli ya kukata tamaa na kweli hamuwezi kutuelewa ila Lema anaelewa. Muulize Kinana hivi Joshua alipata kura ngapi pale kijijini kwako makiba ndio utaelewa kuwa kama katibu wa ccm amekataliwa hadi na wa nyumbani kwake nini maana yake.
 

lEMA ALIUZA AMBULANCE MBILI ZA WAGONJWA NDO AJENGE HOSPITALI! ACHENI KUCHEKESHA!
 

hebu kidogo tuzungumzie jambo la kitaifa. Hivi chagadema/ukawa nani atagombea uraisi?
 
ajasikika sana na ninyi makana wa humu mmekaa kimya ngoja ajipe kiki kidogo
 
subiri utoke Mirembe uje ukoment vizuri

We tulia tu sii dawa inaingia!!! Hata wakienda kujifungua uchungu huwafanya wawatukane waume.zao lakini haizui kuzaa. Pole sana ulikubali kubeba mimba jifunguwe tu kwa uchungu maana imeandikwa katika maandiko matakatifu. Mirembe hawaendi wenye maisha ya furaha na ushindi ila wote wale waliofrustrated na huanza na kutukana wakiwehuka ka stage uliopo sasa hivi. Pole sana wahi kwa daktari au jitenge na siasa.
 
Ni.lini ataenda kuzindua zile Machinga Complex mbili aliziwaahidi wana Arusha?
 
Kwa hiyo ulitaka Mwenge au Mzee Mkasi(Bilali) ndio waje kuzindua hiyo Zahanati. Lema ni mwakilishi wa wananchi na kufanya hivyo ni haki yake kabisa.
 
hebu kidogo tuzungumzie jambo la kitaifa. Hivi chagadema/ukawa nani atagombea uraisi?

Aaah aaah dawa ikiingia huwa wanatafuta hata dirisha wachepuke. Dozi kwa leo imetosha wacha nikufungulie mlango. Swala la mgombea wa ukawa sisi tumejifunza kufanya mambo kwa wakati na mjira yaliyokubalika. Sasa hivi tulikuwa na tuna majukumu mazito manne baada kujenga chadema msingi 1. Kuondoa wasaliti ndani ya chama kabla ya uchaguzi ili wasituvuruge na makundi na pandikizi walizojazwa na ccm 2. Kufanya uchaguzi from shina to taifa. 3. Kampeni M4C sehemu ya tatu maarufu Delete Kabisa.
4.Uchaguzi serikali za mitaa

Baada ya hapo hoja za kugombe ndio zitaingia so hatupo huko hata kidogo.
 
hawakushiri si hata kwa kutoa mchango, bali hata kuhimiza wananchi kuijenga badala yake walikuwa wakihubiri kwa hao wananchi kutokushiriki ujenz huo. LEMA AMEUZA AMBULANCE YA WAGONJWA NDO AJENGE HOSPITALI?

Kwa hiyo mwenge ndio uliojenga?.
 
Kwa hiyo mwenge ndio uliojenga?.

Hebu muulize tangu lini nchi ikajengwa na ramli. Yaani ramli ya kizanaki ndio ibabaishe watanzania namna hii. Na wajuwe wote wanaozunguka na kuudhuria mwenge huu wa ccm wanapiga ramli na wameudhuria mabaraza ya wachawi. Nao ni wachawi. Mungu ni mwema sana maana 2015 ramli itapelekwa makumbusho. Hisitoria itakiwa hapo zamani tz ilikuwa inapiga ramli. Maombi ya Watumishi wa Mungu wanaoonya miaka yote juu ya uaguaji huu wa kuchawia taifa na ramli ya kizanaki yamesikika.
 
Kwa hiyo ulitaka Mwenge au Mzee Mkasi(Bilali) ndio waje kuzindua hiyo Zahanati. Lema ni mwakilishi wa wananchi na kufanya hivyo ni haki yake kabisa.

ameshiriki kujenga yy kama kiongoz wa jimbo hilo? Kwann hajashirikiana na wananchi kujenga?
 
Lema hana akili

Ni kweli kabisa maana wachawi wote hisema wacha Mungu hawana akili. Hivi nyie mnaoagua nchi kwa ramli ya kizanaki ndio mna akili siyo. Na wote mnaokimbiza na kuudhuria mwenge mmeudhuria mabaraza ya wachawi. Ni wachawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…