baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 14,402
- 17,582
Sasa hivi ukifanya mistake ndogo tu wafuasi wa Chadema wanakushusha moja kwa moja tunasema kama ulikua ligi kuu unashuswa daraja moja kwa moja ndo kinaenda kumtokea Nabii koko anashindwa kusoma nyakati na wakati. Lissu kaja kukomesha biashara ya siasa sijuhi kwa nini wanakua wazito kutambua jambo kama hili Niliwahi kuleta Uzi hapa Lema anahitaji chadema kuliko chadema inavyomuhitaji Lema