Lema mwendo ameumaliza tutakukumbuka

Lema mwendo ameumaliza tutakukumbuka

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
14,402
Reaction score
17,582
Sasa hivi ukifanya mistake ndogo tu wafuasi wa Chadema wanakushusha moja kwa moja tunasema kama ulikua ligi kuu unashuswa daraja moja kwa moja ndo kinaenda kumtokea Nabii koko anashindwa kusoma nyakati na wakati. Lissu kaja kukomesha biashara ya siasa sijuhi kwa nini wanakua wazito kutambua jambo kama hili Niliwahi kuleta Uzi hapa Lema anahitaji chadema kuliko chadema inavyomuhitaji Lema
 
Sasa hivi ukifanya mistake ndogo tu wafuasi wa Chadema wanakushusha moja kwa moja tunasema kama ulikua ligi kuu unashuswa daraja moja kwa moja ndo kinaenda kumtokea Nabii koko anashindwa kusoma nyakati na wakati. Lissu kaja kukomesha biashara ya siasa sijuhi kwa nini wanakua wazito kutambua jambo kama hili Niliwahi kuleta Uzi hapa Lema anahitaji chadema kuliko chadema inavyomuhitaji Lema
vip fisadi heche na muhaini? 🐒
 
Sasa hivi ukifanya mistake ndogo tu wafuasi wa Chadema wanakushusha moja kwa moja tunasema kama ulikua ligi kuu unashuswa daraja moja kwa moja ndo kinaenda kumtokea Nabii koko anashindwa kusoma nyakati na wakati. Lissu kaja kukomesha biashara ya siasa sijuhi kwa nini wanakua wazito kutambua jambo kama hili Niliwahi kuleta Uzi hapa Lema anahitaji chadema kuliko chadema inavyomuhitaji Lema
Mi naunga mkono. Afukuzwe kila mtu Chadema ili chama kibaki peke yake kikiwa kisafi!
 
Back
Top Bottom