Tetesi nilizopata kutoka ndani ya chama dume Chadema zinadokeza kuwa jukumu la kumnadi Mgombea Joshua Nasary wa arumeru mashariki amepewa Kamanda wa jeshi la ardhini Godbless Lema,kutokana na ushawishi alionao huku John Mrema akiwa meneja wa kampeni.bravo Lema,VIVA CDM.