measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Kwanini.....
Mkuu sometimes huwa anajisahau na kuropoka na hayo maneno ndo yanayom-cost sasa na Kesi ya uchaguzi
Kwanini.....
Wakuu hii game Wameru wakikubali kuhongwa si hatumo!. Pesa itatumika ya ukweli kuhakikisha kuwa CCM watashinda! Watu wa huko Meru kuleni hela na muwalipie watoto wenu karo ila muhakikishe tarehe 1 Aprili mnafanya kweli! Kila la kheri Makamanda.
umenena mkuu,wanachoafiki viongozi wa cdm huwa kimekamilika,nawafagiliaKifungu hicho kinaafikiwa
Lema, saizi hana kesi Chadema wanatakiwa wamuache apumzike hajipange jinsi ya kupambana na kesi yake Arusha, anaweza kupewa hiyo nafasi yakazuka mengine, kuna watu muhimu ndani ya Chadema wanaweza kufanya kazi hiyo yupo John Shibuda, hanaweza kuongoza jahazi la Chadema Arumeru Mashariki.