Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
siku moja kabla ya rufaa ya Godbless Lema, kutakuwa na mkutano mktano mkubwa kwenye uwanja wa kujidai NMC utakao ongozwa na Lema, Joshua Nasari sambamba nauongozi wa mkoa arusha. wakati huo huo jeshi la polisi limeonekana kuingia kiwewe na kuanza kutishia kuuzuia mkutano huo bila kutoa sababu...