Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hivi mtoto akikosea lawama si kwa mzazi wake?
Mh.Rais hatupendezwi na baadhi ya mambo unayoyaendekeza,siasa uchwara zinazominya umoja wa kitaifa. Tatizo nini ? Au ndio kufuata nyayo za Rwanda kama inavyobashiriwa? Upendo wa Kitanzania udumishwe pasi na kuendekeza siasa za kudhulumiana
Kwa miaka 23 tumeshuhudia nchi ikiongozwa na utawala wa Visasi,Chuki na Ubaguzi. Wanachopanda ndicho watakachovuna.Hakuna chenye mwanzo kikakosa mwisho.Hata Yesu aliishi miaka 33 na alikuwa Mwana wa Mungu Sembuse CCM