Serikali hii mpya imeanzisha Rasmi utawala wa kikabili,ambao unavunja sheria hadharani,vikiambatana na vitisho,uchochezi,na mengi mabaya,ambayo mbegu yake iliatikwa muda mrefu nyuma,CCM sasa rasmi inavuna ilichopanda,isipokuwa kuwa tuu,serikali hii imevuka mipaka,kuficha siri kwa kuvunja sheria kweupe,na serikali chafu,kuliko serikali zote za taifa hili,toka kupata uhuru,Ni sawa sio kwamba kila kitu kulikwenda sawa miaka ya nyuma,sisi wananchi tumekuwa na imani ya amani yote ya nyuma,serikali hii inaharibu sifa yote ya Taifa hili,Lema halaumiki,watu wanaogopa kusema ukweli,na hiyo itapelekea serikali kufikiria raia tumewazibiti na kuzidi kila kukicha kuendeleza ukatili,ikiwa waasisi wa Taifa hili ,wanakaa kimya kutoingilia kati na kuelekeza utawala,katika Amani na utawala bora,ikiwa mambo yataendelea katika na na hii basi ni bora tujitayarishe na laana ya Mungu,historia inaeonesha za nchi nyingine,zilizopo katka majanga,bado tumuombe Mungu tusifikie huko,lakini Kwa namna serikali isiyojali,isyosikia,isiyoona,isiyofahamu,itatupeleka pabaya,tunamuomba rais aache tabia ya kukaa kimya.na kutovikanya vitendo vibaya Akiwa yeye,alikula kiapo cha kutenda haki na huruma kwa raia wake,Rais aache upendeleo,kwa kuruhusu hao anaowachagua,kuvunja amani na utulivu uliokuwepo,tunazidi bado kuliombea Taifa hili amani,lakini hivi vitendo vya kidicteta vinavyoendelea vinaweza kuipelekea pabaya jamii.Kuandika kuna uwezekano inatia aibu, kwanini hana subira!?
Yeye mwenyewe hajiamini bali anataka kuchochea jambo hili kwa kulikuza, huku hata yeye inavyoelekea hajui makosa waliyofanya.
Aonyeshe mfano w kuwa na subira kama kiongozi. Hivi jimboni kwake anafanya nini cha maana lakini? Yapi mapya mtujuze wengine sisi
Mungu ibariki Tanzania.