Lazima aape, maana alivuliwa ubunge na mahakama halali, na si kuporwa kama mdau mmoja alivosema.
Hii haijalishi kama alionewa au kutoonewa.!
Lazima aape, maana alivuliwa ubunge na mahakama halali, na si kuporwa kama mdau mmoja alivosema.
Hii haijalishi kama alionewa au kutoonewa.!
Vp kuhusu mafao yake ?
Hataapa tena. Nafasi yake haikuwahi kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwamba iko wazi wala Spika hakuwahi kuiarifu hivo Tume. Namshukuru MUNGU kodi zetu hazitateketea kwa uchaguzi mdogo ambao ungekuwa mama ya chaguzi ndogo zote na matokeo yangekuwa ni yaleyale.
Hataapa tena. Nafasi yake haikuwahi kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwamba iko wazi wala Spika hakuwahi kuiarifu hivo Tume. Namshukuru MUNGU kodi zetu hazitateketea kwa uchaguzi mdogo ambao ungekuwa mama ya chaguzi ndogo zote na matokeo yangekuwa ni yaleyale.
Lema hawezi kuapa, uamuzi wa mahakama unatambuliwa, si na mahakama ya chini pekee bali ya rufani. Kwa kitendo cha kumtangaza kuwa ni mbunge halali, maana yake 'mahakama' imeamua. Kwa hiyo hakuna kuapa tena. Mafao yake yote atapata, na ikibidi haki nyingine zote maana alikoseshwa kwa makosa.
Kama angeshindwa kesi Mahakama ya rufaa leo then akaamua kugombea tena baada ya NEC kutangaza Jimbo hilo la Arusha lipo wazi na KUSHINDA uchaguzi huo mpya LEMA ingebidi aape tena!
Lkn baada ya kuvuliwa Ubunge na Mahakama kuu kanda ya Arusha na yeye kukata rufaa Mahakama ya rufaa na kushinda LEMA HAWEZI KUAPA TENA bali ofisi ya Bunge ikitumiwa nakala ya hukumu ya leo Spika atatoa tu mwongozo wa kumrudisha kwenye kamati alizomteua za Bunge na siku ya kwanza ya Lema kuingia Bungeni spika atatoa tu mwongozo wa kumkaribisha tena bungeni!
Huwezi kuapa mara 2 kwenye bunge hilo hilo AMBALO halijavunjwa na Rais kupisha uchaguzi mpya wa ndani ya katiba!!
Kuhusu Malipo:Lema hakuwa anafanya kazi za kuwawakilisha wakazi wa Arusha hivyo HAWEZI PATA HATA SENTI kipindi kavuliwa Ubunge wake;Lema ataanza kupata malipo yake wakati kamati za Bunge zitakapo anza kukutana kabla ya kikao cha kawaida cha Bunge!
Hivi ubunge ni kama VAZI eeeh!?:majani7:Lazima aape, maana alivuliwa ubunge na mahakama halali, na si kuporwa kama mdau mmoja alivosema.
Hii haijalishi kama alionewa au kutoonewa.!
Ubunge unakoma pale Tume ya Taifa inapotangaza Jimbo liko wazi baada ya kuarifiwa hivo na Spika. Ndio maana akina Kafulia na Hamad Rashid bado ni WABUNGE pamoja na kufukuzwa kwenye vyama vyao.Kwa maana hiyo ni sahihi tukisema ubunge wake haukuwahi kukoma? Kama uliwahi kukoma, nijuavyo mimi yeyote anayeingia bungeni akitokea "uraiani" anapaswa kuapa. Kama haukuwahi kukoma, kuna tatizo kwenye sheria zetu. Naamini Magwiji wetu wa Sheria wakiongozwa na Kamanda machachari Mh. Tundu Lissu wataliweka vizuri huko mjengoni.