Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Poa ninatakuja na washikaji tutakuwepo kwa wingi tafadhali kama gari la matangazo litaweza kupita kuamasisha watu jioni ya leo itakuwa fresh.viva cdm ,m4c for life
Wewe uliyekurupuka, mimi Kiswahili ni lugha mama kwangu, wewe jee?
Want to know where Regeza Mwendo in Zanzibar Urban, Tanzania is located? Find out here.
Kama wewe zomba Kiswahili ni lugha mama, basi sisi wengine ni lugha baba.
Sasa turudi kwenye hoja ya msingi, kesho magamba yanavuliwa segerea, jitahidi uwepo ili ukabidhiwe gwanda upate ukombozi wa kifikra.
sisi tunawaza kukombolewa ccm wanawaza umbea na kugombea madaraka,Mungu hajafanya makosa kuileta cdm tanzaniaNasikia Kusini, Mwenyekiti na Katibu nusura wazipige kavu-kazu. Kwi kwi kwi teh teh teh. Mmoja anataka watu wake wabakie mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.
sisi tunawaza kukombolewa ccm wanawaza umbea na kugombea madaraka,Mungu hajafanya makosa kuileta cdm tanzania
Nasikia Kusini, Mwenyekiti na Katibu nusura wazipige kavu-kazu. Kwi kwi kwi teh teh teh. Mmoja anataka watu wake wabakie mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.
Imani yako si sahihi, ni regeza si legeza.
mwehu naye ni mtu lakini
hadi kufika 2015 mtakuwa mmeongea lugha zote,sisi tunachanja mbuga!Nasikia Mwenyekiti na Katibu karibu wazipige kavukavu Kusini, mmoja anataka watu waendelee kuwepo, mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.
hadi kufika 2015 mtakuwa mmeongea lugha zote,sisi tunachanja mbuga!
hadi kufika 2015 mtakuwa mmeongea lugha zote,sisi tunachanja mbuga!Nasikia Mwenyekiti na Katibu karibu wazipige kavukavu Kusini, mmoja anataka watu waendelee kuwepo, mmoja anataka waondolewe wawekwe wake.