Mendelian Inheritanc
Member
- Dec 25, 2011
- 86
- 11
CCM haikubaliki tushirikiane kuitokomeza.
Wanachama na wapenzi wa CHADEMA na wananchi wote wa jimbo la segerea na dar es salaam kwa ujumla, baada ya kuitikisa kusini na viunga vyake sasa m4c imeingia katika jimbo la segerea tunaombwa tufike kwenye viwanja vya tabata shule (segerea) siku ya jumapili tar 17/06/2012 kuanzia saa sita mchana kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) ukiongozwa na kamanda godbless lema, john heche na muasisi wa mageuzi nchini kamanda mabere marando wote kwa pamoja watauwasha moto wa M4C wakiwa na makamnda wengine wengi kutoka makao makuu ya chama. Makamanda katika mwendelezo wa M4C watafungua ofisi za kata na kuzindua matawi mbali mbali katika jimbo la segerea na kumalizia na mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya tabata shule. Jiunge na vugu vugu la mabadiliko katika kuandika historia mpya ya Tz.
Ukipata habari hii unaombwa umwambie na mwenzako. Hii sio ya kukosa makamanda. CCM Imezeeka tuitoe. - Moshi katibu BAVICHA (J) Segerea
Wanachama na wapenzi wa CHADEMA na wananchi wote wa jimbo la segerea na dar es salaam kwa ujumla, baada ya kuitikisa kusini na viunga vyake sasa m4c imeingia katika jimbo la segerea tunaombwa tufike kwenye viwanja vya tabata shule (segerea) siku ya jumapili tar 17/06/2012 kuanzia saa sita mchana kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara (M4C) ukiongozwa na kamanda godbless lema, john heche na muasisi wa mageuzi nchini kamanda mabere marando wote kwa pamoja watauwasha moto wa M4C wakiwa na makamnda wengine wengi kutoka makao makuu ya chama. Makamanda katika mwendelezo wa M4C watafungua ofisi za kata na kuzindua matawi mbali mbali katika jimbo la segerea na kumalizia na mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya tabata shule. Jiunge na vugu vugu la mabadiliko katika kuandika historia mpya ya Tz.
Ukipata habari hii unaombwa umwambie na mwenzako. Hii sio ya kukosa makamanda. CCM Imezeeka tuitoe. - Moshi katibu BAVICHA (J) Segerea