Lema hali tete Arusha

Lema hali tete Arusha

Mleta uzi huyu huyu jana alikuja na habari kuwa msigwa na mnyika wapo taabani leo kahamia kwa lema.
 
Wana arusha wamechoka kuwa waandamanaji wa kudumu.
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

CCM wametekeleza ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania?
 
CCM wametekeleza ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania?

Hii sio excuse ya Lema kushindwa kutekeleza ahadi, atuambie fedha za mfuko wa jimbo alikuwa anapeleka wapi? Maandamano yamesaidia nini wanaArusha?
 
Karibu sana Arusha naona una post kama vile uko Malawi. Arusha CCM wananyata wanavizia vizia hawana amani. Hawawezi hata kupiga kampeni Juzi niliwaona wanafunga bendela za ccm kwenye nguzo umeme Uzunguni huku wamejihami na mapanga.
 
Baada ya CHADEMA sasa Jf imevamiwa na wachumia tumbo kwakweli!
 
Karibu sana Arusha naona una post kama vile uko Malawi. Arusha CCM wananyata wanavizia vizia hawana amani. Hawawezi hata kupiga kampeni Juzi niliwaona wanafunga bendela za ccm kwenye nguzo umeme Uzunguni huku wamejihami na mapanga.

Mkuu humjui jingalao?
 
Kuna mtu alituambia anakuja Arusha kuja kujionea hali ya lema mpaka sasa hajatoa jibu...ni maumivu makali kwa lema huku Arusha.
 
Ahadi nyingi na umeshindwa kutaja hata moja tu..
 
Mbunge wa CHADEMA Godbless Lema yuko hatiani kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali,hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo waahidi wananchi wa jimbo la Arusha Mjini.
Hapati kitu mwaka huu huyo
 
Back
Top Bottom