Lema hali tete Arusha

Lema hali tete Arusha

Mkuu sidhani kama kanjibai anaweza mwangusha lema,huo utafiti wako hautofautian na ule ulotolewa juzi juz kuwa mgombea wenu anaongoza katika kura za maoni,achana na siasa maji taka lema anarud tena bungeni bila was kwa kuwa wananchi wanamkubali

Lema ni rais wa Arusha
 
Hivi jaman kama CIO bangeeee ni nn tusemeeeee? Hakuna kama Lema chuga a' hata aje kikwete hapa chuga hawezi furukuta mbele ya Lema mzee. Ww unakaa DSM unaandika mambo ya arusha? Lema ni shidaaaaaaaaaa

Husimshangae mleta uzi maana ni ingizo jipya kushika nafasi ya JINGALAO
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

Ndio wamepangishiwa chumba upanga hawa,mpuuzieni tu.
 
Lema hana chake hapo
..amejilimbikizia mali za kufa mtu, simply hatufai huyu goigoi
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini


Kabla ya kuja hapa wewe punguani fikiri sana unachotaka kusema unafikiri tuna akili fupi kama uliyokuja nayo!
Ama umetumwa na ile ukoo ya laana! Kawaambie huku siyo waaheeed wewe!!!!
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

wewe utakua binti wa saluni, umbea umekuzidi
 
wameajiriwa hao,post zao hazina mashiko

Mnapokuwa mnaelezwa hali yenu ilivyo,mpokee km changamoto.Lema atashndwa na Kiwia,mtashangaa na ubishı wenu.Kumbuka anayegombea ubunge wa Arusha sio Msukuma Magufulı,ni mzawa wa hukohuko na ile ni jamii yake.Hapa Dar Ukawa mkijitahdi licha ya Ukweli urais Lowasa aweza ongoza,ubunge hamtapata viti zaidi ya viwilı
 
Mleta mada anajitekenya mwenyewe alafu anacheka kwa nguvu kama anatekenywa.

namshauri aendelee na usingizi wake asituhadithie ndoto zake na sisi hatujalala tunaona uhalisia.
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

maneno yale yale, mwandiko ule ule kama thread iliyomhusu Mnyika. Nahisi mwandikaji anatumia ID tofauti tofauti.
 
Niliwahi kuleta thread humu kwamba jimbo la Arusha mjini na Hai yanarudi ccm ...subirini hiyo suprise!
 
Watu wanaichukia ccm Kwa wanayoyafanya, Na kuna mambo mengi yamefanyika chini ya chadema hapa Arusha, pamoja Na pesa kidogo zilizoletwa Arusha wameweza kuzisimamia zisibiwe Na kufanya kazi, kuna mabadiliko makubwa sana ukilinganisha Na muda ambao ccm wameongoza mji huu,hata uonevu uliokua unafanywa Na matajiri hasa wakihindi umepungua sana Kwa sababu wanamuogopa Lema Na chadema, ndio maana kipindi Hiki walitoka kugombea kupitia ccm kwani sana hivi wamebanwa wakionea watu wanapata msaada wa kisheria wanaenda mahakamani Na watu wengi wa Arusha wanauwezo mkubwa wa kufikiri kutoka Na wengi kupata international exposure, hivyo Lema anajua kwendana nao, hakuna Shaka Lema Na Chadema atapita Kwa ushindi mkubwa sana.
 
Mnapokuwa mnaelezwa hali yenu ilivyo,mpokee km changamoto.Lema atashndwa na Kiwia,mtashangaa na ubishı wenu.Kumbuka anayegombea ubunge wa Arusha sio Msukuma Magufulı,ni mzawa wa hukohuko na ile ni jamii yake.Hapa Dar Ukawa mkijitahdi licha ya Ukweli urais Lowasa aweza ongoza,ubunge hamtapata viti zaidi ya viwilı

Dada angu ulikuwa unafeli Sana somo la uraia ee
 
Mkuu mleta mada;

Mimi nimefanikiwa kuhudhuria mkutano wa Lema hapa maeneo ya Philips Arusha...tar. 21/9/2015..

NILICHOKIONA;

Lema alitumia muda wote kumsafisha Lowassa bila ya yy kujinadi....cheap politics zilitawala 95% ya hutoba yake..by the way Lowassa ni brand inayoiuza brand ingine(Lema)

Jimbo la Lema limegubikwa na ubaguzi wa kikabila na udini kwa mbali...japo wachache wanaliona hilo..


My take;
Lowassa angesikuwa ukawa Lema angelazwa chini na Monaban , wafuasi wa Lema wanamkubali na hizo hadithi zake za cheap politics na huo ndo MTEJA wa Lema......Lema anajua akili za wafuasi wake na hivyo anaendelea kuwadanganya na kuwapumbaza kwa fikira za kijinga....anaweza kushinda bado kwa nilivyoona.
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

Ulikua na nyege za kuandika zimeisha?
 
Haya matatizo ya kuishi kwa nguvu za jua na upepo.
 
Back
Top Bottom