Lema hali tete Arusha

Lema hali tete Arusha

jaba jumah

Senior Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
150
Reaction score
50
Mbunge wa CHADEMA Godbless Lema yuko hatiani kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali,hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo waahidi wananchi wa jimbo la Arusha Mjini.
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini
Vijana wa Lumumba mmeishiwa ya kuandika mpate buku 7 lenu.
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini
Wazazi wako watakua wanajilaumu sana kuku zaa.
 
...aaaah mbona mna propaganda za kijing..a jamani ..!?!!? oneni aibu nyie masaki centre acheni kujaza seba kwa upuuzi...
 
Wewe mleta uzi ndo una hali tete,unahofu kibarua kitaota nyac ndo maana kila dakika unaweka post mpya,jiandae kutafuts ajira nyingine hiyo ya udalali wa kukodi malori ya kubeba watu wa kampeini na kubebea meno ya tembo mwisho 25/9,na hao majangiri lazma yafungwe,ww kwasababu ni kuli nakushauri usepe mapema kabla hakijanuka
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

Kama ni suala la kutekeleza "ahadi" haki ya mama yangu,CCM haitopata hata 1% ya kura popote Tanzania.AMINI NAKWAMBIA.
 
Hivi jaman kama CIO bangeeee ni nn tusemeeeee? Hakuna kama Lema chuga a' hata aje kikwete hapa chuga hawezi furukuta mbele ya Lema mzee. Ww unakaa DSM unaandika mambo ya arusha? Lema ni shidaaaaaaaaaa
 
Mkuu sidhani kama kanjibai anaweza mwangusha lema,huo utafiti wako hautofautian na ule ulotolewa juzi juz kuwa mgombea wenu anaongoza katika kura za maoni,achana na siasa maji taka lema anarud tena bungeni bila was kwa kuwa wananchi wanamkubali
 
Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini

Ukisikia mtu kutumia akili za ngiri kufikili basi ni wewe, hujui lema ni rais wa arusha? Kwa taarifa yako ccm arusha haitaambulia hata diwani
 
Back
Top Bottom