jaba jumah
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 150
- 50
Mbunge wa CHADEMA Godbless Lema yuko hatiani kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali,hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo waahidi wananchi wa jimbo la Arusha Mjini.