Lema chupuchupu kutiwa nguvuni...

Lema chupuchupu kutiwa nguvuni...

Siasa za kijinga unafanya ujinga ili ukamatwe jina lako likue,
hii ni akili au matope.
 
Serikali ya kijangiri imebaki kupambana na wapinzani.

Huwezi kuitwa mpinzani wakati ulikimbia shule. Lema siyo mpinzani. Tatizo la Lema hakusoma ndio maana hajui hata anachoongea. Shule ni kitu mhimu sana ili kujielewa
 
Tunakoelekea, tanzania itakuwa nchi hatari kwa wapinzani kuliko hata kenya na uganda! Polis ---------- vibaya kudhoofisha wapinzani!
 
Huyu Lema inabidi mumfundishe jinsi ya kuongea mbele ya jamii..

Unafikiri kwa umri alionao sasa ataelewa? Just imagine alifeli form four wakati hajazeeka! Hizo akili za kuelewa sasa atazitoa wapi? He is a zero brain
 
Si yule lema aliyedai ofisi ya cdm arusha imechumwa name baadae ikabainika ni wao wenyewe!!uongo wa kitoto apeleke kwa mapunga wenzake huko
 
Siku hizi polisi Sana mi-iPhone wanafanyia kazi status za fb. Hahaha maendeleo in disguise
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema jana alinusurika kukamatwa na makachero wa Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kutokana na ujumbe wake aliouposti kwenye mtandao wa kijamii akiandika: “Rais Kikwete mbona umeamua kuliangamiza taifa.”

Akizungumza na gazeti hili jana akiwa njiani kuelekea Dodoma kushiriki Kikao cha Bunge la Katiba, Lema alisema maafisa wawili wa polisi walimfuata katika hoteli aliyofikia Dar es Salaam kwa lengo la kumkamata na kumpeleka makao makuu ya polisi.

Lema alisema maafisa hao, ambao walikuwa wanatumia gari dogo, baada ya kufika hotelini hapo, waliomba aitwe na aliposhuka walimtaka kuandamana nao, hadi makao makuu ya polisi kwa mahojiano.




lema+px.jpg

Sioni kama hoja ya maana ya kujadili au anatutaarifu kuwa yeye ni mtoto ni mtoto wa mjini aliyeshindikana na vyombo vya dola au aliwapa rushwa wakamwachia au alipigana nao akawazidi nguvu.
 
Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????

kuchangia hoja kunahitaji uelewa wa mambo na elimu ya jambo husika, sasa huyo jamaa hamna kitu kichwani ndio maana anakuja na mbinu za vurugu.
 
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema jana alinusurika kukamatwa na makachero wa Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kutokana na ujumbe wake aliouposti kwenye mtandao wa kijamii akiandika: “Rais Kikwete mbona umeamua kuliangamiza taifa.”

Akizungumza na gazeti hili jana akiwa njiani kuelekea Dodoma kushiriki Kikao cha Bunge la Katiba, Lema alisema maafisa wawili wa polisi walimfuata katika hoteli aliyofikia Dar es Salaam kwa lengo la kumkamata na kumpeleka makao makuu ya polisi.

Lema alisema maafisa hao, ambao walikuwa wanatumia gari dogo, baada ya kufika hotelini hapo, waliomba aitwe na aliposhuka walimtaka kuandamana nao, hadi makao makuu ya polisi kwa mahojiano.




lema+px.jpg

This is too much more than looking for popularity but looking for confusion. Then see what coming and time will tell.
 
Back
Top Bottom