bendaki
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 952
- 346
Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????
Kama lowassa asivyo kemea ufisadi nje na ndani ya bunge!
Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????
Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????
vipi mwigulu na lusinde wanachangia? Zaidi ya mipasho kama vile tuwalambe tusiwalambe...Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????
Serikali ya kijangiri imebaki kupambana na wapinzani.
Huyu Lema inabidi mumfundishe jinsi ya kuongea mbele ya jamii..
Kumbuka system iko vizuri sana ndani ya nchi hii..
Cheap popularity
Mkuu we mbona rambirambi ya mjane uliichongea manati?
ILIBIDI AICHONGEE MANATI KWA SABABU HAIKUWA MALI YAKE.
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema jana alinusurika kukamatwa na makachero wa Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kutokana na ujumbe wake aliouposti kwenye mtandao wa kijamii akiandika: Rais Kikwete mbona umeamua kuliangamiza taifa.
Akizungumza na gazeti hili jana akiwa njiani kuelekea Dodoma kushiriki Kikao cha Bunge la Katiba, Lema alisema maafisa wawili wa polisi walimfuata katika hoteli aliyofikia Dar es Salaam kwa lengo la kumkamata na kumpeleka makao makuu ya polisi.
Lema alisema maafisa hao, ambao walikuwa wanatumia gari dogo, baada ya kufika hotelini hapo, waliomba aitwe na aliposhuka walimtaka kuandamana nao, hadi makao makuu ya polisi kwa mahojiano.
![]()
Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????
Kuku wako mwenyewe umchongee manati ya nini?
Kumbuka system iko vizuri sana ndani ya nchi hii..
kuchangia hoja kunahitaji uelewa wa mambo na elimu ya jambo husika, sasa huyo jamaa hamna kitu kichwani ndio maana anakuja na mbinu za vurugu.
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema jana alinusurika kukamatwa na makachero wa Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kutokana na ujumbe wake aliouposti kwenye mtandao wa kijamii akiandika: Rais Kikwete mbona umeamua kuliangamiza taifa.
Akizungumza na gazeti hili jana akiwa njiani kuelekea Dodoma kushiriki Kikao cha Bunge la Katiba, Lema alisema maafisa wawili wa polisi walimfuata katika hoteli aliyofikia Dar es Salaam kwa lengo la kumkamata na kumpeleka makao makuu ya polisi.
Lema alisema maafisa hao, ambao walikuwa wanatumia gari dogo, baada ya kufika hotelini hapo, waliomba aitwe na aliposhuka walimtaka kuandamana nao, hadi makao makuu ya polisi kwa mahojiano.
![]()