utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Lema mini kabaang ni janga
Nchi haiwezi kuongozwa na muhuni kama Lema.
Kuku wako mwenyewe umchongee manati ya nini?
Siasa za kijinga unafanya ujinga ili ukamatwe jina lako likue,
hii ni akili au matope.
Siasa za kijinga unafanya ujinga ili ukamatwe jina lako likue,
hii ni akili au matope.
Hivi Lema mbona huwa hasikiki akichangia hoja mbalimbali za kimaendeleo Bungeni au hata
nje ya Bunge????