Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
mkuu,
naona unahangaika kweli kumtetea lema na hii yote ni kwa sabb huyo jamaa hakuutendea haki ubunge wake ktk wakati wake....vinginevyo ingekuwa kazi nyepesi sana kwako.
binafsi nimemuona nasari akishiriki shughuli nyingi za maendeleo jimboni kwake tofauti kabisa na lema ingawa mwanzoni naye alitaka kuiga staili ya lema - pongezi ziende kwa waliomshauri hatimaye akabadilika mapema!
Lema ni mbunge wa arusha piga ua