Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
wewe na neema au?!!
Mkipigwa ban ya miezi sita mnalalamika,kumbe ni sabababu ya tabia zenu
wewe na neema au?!!
Arusha kwa nini tuwe wajinga kama mijitu mingine....hebu angalia hao watu wanavyotamba na rasilimali zetu ona wanavyochukuwa migodo huko merarani.heri ya huyuhuyu tuliyenae kuliko mwingine
Mbunge wa Arusha mjini kupitia CHADEMA, G. Lema amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi hakiwezi kumng'oa katika kinyang'anyiro cha ubunge jimbo la Arusha mjini.
Source: uchambuzi magazetini leo.
My Take:
Lema anataka kung'ang'ania ubunge wa Arusha mjini kwa kipi alichokifanya Arusha kwa wananchi kwa kipindi cha miaka mitano?
Anadhani wananchi wamesahau ambulance za wagonjwa alizouza? Trekta za wakulima hajaeleza alikozipeleka zaidi ya kujitetea kupitia washabiki wake kuwa zipo bandarini, viwanja vya Burka kwa ajili ya maendeleo alivyojitaifishia?, ubadhilifu wa fedha za mfuko wa jimbo, fedha za kusomesha watoto wasiojiweza haijulikani alikozipeleka na watoto kuachwa kwenye mataa!
Ni vigumu sana Lema kurudia kiti cha ubunge Arusha, si kupitia tu Chama Cha Demoghasia na Maandamano (CHADEMA), bali hata akijibadilisha sura, hawezi kuchaguliwa na watu wenye akili timamu kwani ameiharibu Arusha kiuchumi, kisiasa, kijamii na kimaendeleo.[/QUOTE]
Baada ya kusoma hiyo sentensi yako ya mwisho, nikahitimisha kwamba yote uliyoaandika hapo juu ni upuuzi ambao ahuna mashiko.
Well hung on for a second, lakini sio makosa yako because you have a pigeon brain!
Umempa za kutosha mzee maana ameingia kwa ngozi ya kondoo kumbe ni chui
Lema ataendelea kuwa mbunge wa Arusha mpaka atakaposema baaaasi, au Mungu achukue uhai wake, na tutachagua jembe lingine kutoka chadema, ccm haman chenu tena Arusha, huyo katibu wenu Kinana alikuwa mbunge kwa muda mrefu aliifanyia nini Arusha zaidi ya kuachia wasomali wenzake kuuza mirungi na madawa ya kulevya? Wala hakuna mtu aliekuwa anajua kama jimbo lina mbunge kwa kuwa hakuwa anaishi Arusha, Kinana aliiba mashine za kufulia nguo za hospital akafungualia biashara haya ndio maendeleo eti eee.
Hahaha , Lema anachekesha sana, yaani kwa akili zake anafikiri mji wa arusha ni wake na familia yake, hii nayo kali, kwani LEMA ni nani miipaka CCM au ch
ama kingine chochote kishindwe kumtoa hapo arusha,?? huyu mtu anatudharau sana kufikia hatua hii ya kutoa kauli kama hii, ni kujitangazia ufalme, na kwenye ardhi ya wamasai na wameru hatujawahi kupata mtawala wa kichaga, kama anataka ufalme akatawale huko kwao moshi.
Mkipigwa ban ya miezi sita mnalalamika,kumbe ni sabababu ya tabia zenu
vyovyote itakavyokuwa kamanda, tunataka mbunge jembe hasa hapo ar kutoka chadema......jembe kichwani akisimama bungeni wananchi wanakuwa na shauku kusikiliza ataongea nn!
lema ni mwanaharakati zaidi kuliko mwanasiasa.....kama ni lazima kuwa kiongozi ndani ya chama basi apewe kazi za kuhamasisha zitamfaa zaidi.
chadema kama mnalitaka jimbo la arusha badilisheni mgombea
stay tuned...sisiem ndo habare ya mjin Arusha.. tumechoka kumwaga damu na kuwachwa na vilema na CDM!!
Kama ni ccm,mtasubiri saaana kwa arusha
Atabaki huyu lema na atashinda kwani tushastukia janja yenu nyie chumia tumbo
Kuna vijana 100 tunaojuwa wamelipwa na kwa kushirikiana x driver wa lema wameamua kufanya kila wachoweza ili lema aukose ubunge,kwa hilo wamechemka kwani sisi wananchi wa arusha tunamhakikishia mh lema ataendelea kutuwakilisha bungeni hadi atakapo amua yeye kuaachia jimbo
monaban a.k.a Philemon Mollel na Deo Mtui wanajipanga kumngoa lema mwaka huu chadema wajiandae kisaikolojia.
ambulance zetu mbili arejeshe alizouza na machinga complex iko wapi.