Lema: CCM haiwezi kuning'oa ubunge Arusha

Lema: CCM haiwezi kuning'oa ubunge Arusha

Unaonyesha ni jinsi gani akili yako ni sawa na ya simba mwenye njaa

viongozi walianza kurushiwa mawe arusha wakati wa maandamano ya wafuasi wa Chama Cha Demoghasia na Maandamano.
 
viongozi walianza kurushiwa mawe arusha wakati wa maandamano ya wafuasi wa Chama Cha Demoghasia na Maandamano.

Mkuu hapa tanzania hicho chama kwa sasa hicho chama chenye jina hilo hakipo,
 
Lemma ajiandae kisaikolojia, akusanye vilago.
 
viongozi walianza kurushiwa mawe arusha wakati wa maandamano ya wafuasi wa Chama Cha Demoghasia na Maandamano.

Duu unataka kutwambia kuwa hata makonda alipopigwa juzi pale ubungo bus terminal kumbe ni mafunzo ya chama cha demoghasia?
 
Yani we kila jimbo la upinzani umeshatembea na unajua status ya maendeleo yao,hongera sana bibi yetu...

Mimi binafsi huwa nashindwa kumuelewa.... anaishi maeneo yote yanayoongozwa na chadema
 
kikatiba kipindi cha ubunge ni miaka mitano, na Arusha hakujawa na wabunge wawili hivyo unavyokanusha ubunge wa miaka mitano sijui unamaanisha nini huku wakati alipovuliwa ubunge na barabara za arusha kuwekwa lami aliendelea kujisifia iliwekwa katika kipindi chake. Mbunge gani anapingana na mipango ya maendeleo katika jimbo lake?
Njoo kwenye mkutano leo ndio utajua amefanya nini
 
------- kweli yani nyie wote mno mponda Lema....Sababu trust me hamna mbunge aliewahi kutokea Arusha ambae ameweza kupeleka message kwa wana Arusha kuwa bado wana haki na muda wa kujikomboa mikononi mwa CCM.
 
Hahaha , Lema anachekesha sana, yaani kwa akili zake anafikiri mji wa arusha ni wake na familia yake, hii nayo kali, kwani LEMA ni nani mpaka CCM au chama kingine chochote kishindwe kumtoa hapo arusha,?? huyu mtu anatudharau sana kufikia hatua hii ya kutoa kauli kama hii, ni kujitangazia ufalme, na kwenye ardhi ya wamasai na wameru hatujawahi kupata mtawala wa kichaga, kama anataka ufalme akatawale huko kwao moshi.
 
Duu unataka kutwambia kuwa hata makonda alipopigwa juzi pale ubungo bus terminal kumbe ni mafunzo ya chama cha demoghasia?

Chama Cha Demoghasia na Maandamano (CHADEMA)
 
Hahaha , Lema anachekesha sana, yaani kwa akili zake anafikiri mji wa arusha ni wake na familia yake, hii nayo kali, kwani LEMA ni nani mpaka CCM au chama kingine chochote kishindwe kumtoa hapo arusha,?? huyu mtu anatudharau sana kufikia hatua hii ya kutoa kauli kama hii, ni kujitangazia ufalme, na kwenye ardhi ya wamasai na wameru hatujawahi kupata mtawala wa kichaga, kama anataka ufalme akatawale huko kwao moshi.

kwao ni kule Hai kwa Mbowe hana namba kule. Alitaka akagombee huko msimu huu akaona ataumbuka anataka kukomaa Arusha.
 
Lema hana chake Arusha, Amevuruga sana uchumi wa Arusha

Dah!! Yaani wewe kwa UMALAYA hukamatiki!!
Likitajwa jambo la Mwanza - Upo na unalijua,
la DSM - Unalijua pia,
la Arusha - Ni wewe tu,
Kila mahali - Upo!!!!

Vipi dada mbona una kiherehere saaaanaaa???
 
Naona umeamua kututukana sisi wanachi wakaazi wa arusha,we ni nani hadi utuamulie cha kufanya? Umetumwa na nani? Umekula maharage gani? Sisi tutamchagua mh lema na tuna imani naye sana

ah ah ah Mmawia shut up domo lako. wenye Arusha yao wamekukana na kukuruka mita 100 juu. nyambafu mwanaccm wee
 
viongozi walianza kurushiwa mawe arusha wakati wa maandamano ya wafuasi wa Chama Cha Demoghasia na Maandamano.

Vipi Mjomba, na wewe umeipata hii ajira??? Komaa kaka 7,000/= si haba!!! Endelea kuandikaandika tu hawa jamaa huwa wanalipa tu hata kama huna hoja!!
 
Back
Top Bottom