sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,324
- 2,494
Mbunge wa Arusha mjini kupitia CHADEMA, G. Lema amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi hakiwezi kumng'oa katika kinyang'anyiro cha ubunge jimbo la Arusha mjini.
Source: uchambuzi magazetini leo.
My Take:
Lema anataka kung'ang'ania ubunge wa Arusha mjini kwa kipi alichokifanya Arusha kwa wananchi kwa kipindi cha miaka mitano?
Anadhani wananchi wamesahau ambulance za wagonjwa alizouza? Trekta za wakulima hajaeleza alikozipeleka zaidi ya kujitetea kupitia washabiki wake kuwa zipo bandarini, viwanja vya Burka kwa ajili ya maendeleo alivyojitaifishia?, ubadhilifu wa fedha za mfuko wa jimbo, fedha za kusomesha watoto wasiojiweza haijulikani alikozipeleka na watoto kuachwa kwenye mataa!
Ni vigumu sana Lema kurudia kiti cha ubunge Arusha, si kupitia tu Chama Cha Demoghasia na Maandamano (CHADEMA), bali hata akijibadilisha sura, hawezi kuchaguliwa na watu wenye akili timamu kwani ameiharibu Arusha kiuchumi, kisiasa, kijamii na kimaendeleo.
Source: uchambuzi magazetini leo.
My Take:
Lema anataka kung'ang'ania ubunge wa Arusha mjini kwa kipi alichokifanya Arusha kwa wananchi kwa kipindi cha miaka mitano?
Anadhani wananchi wamesahau ambulance za wagonjwa alizouza? Trekta za wakulima hajaeleza alikozipeleka zaidi ya kujitetea kupitia washabiki wake kuwa zipo bandarini, viwanja vya Burka kwa ajili ya maendeleo alivyojitaifishia?, ubadhilifu wa fedha za mfuko wa jimbo, fedha za kusomesha watoto wasiojiweza haijulikani alikozipeleka na watoto kuachwa kwenye mataa!
Ni vigumu sana Lema kurudia kiti cha ubunge Arusha, si kupitia tu Chama Cha Demoghasia na Maandamano (CHADEMA), bali hata akijibadilisha sura, hawezi kuchaguliwa na watu wenye akili timamu kwani ameiharibu Arusha kiuchumi, kisiasa, kijamii na kimaendeleo.