Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,155
- Thread starter
- #41
Watu wetu wanakuja wenyewe , hatuwezi kufanya mkutano Arusha Mjini tukasombe watu LongindoKwanini hamsombi watu?
Watu wetu wanakuja wenyewe , hatuwezi kufanya mkutano Arusha Mjini tukasombe watu LongindoKwanini hamsombi watu?
Mwambie achukue muda wa kuaga pia maana 2020 atasombwa na tsunami
Ni aibu sana !Watu wasiojulikana ndio mtawatumia kumuibia kura? Wenzako huko waliomteka mfanyabiashara wa kikenya wamefahamika na inasemekana wanatumwa na jiwe.
km unalipa mbona poa tuLema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
ikumbukwe kwamba hakuna lori lolote lililotumika kusomba raia
wao na watekaji chadema na wananchiMapenzi ya Watanzania kwa Chadema yako juu sana na hawa wahuni wanalijua hilo ndiyo sababu wamejaa hofu kubwa sana. Pamoja na uhuni wao na mauaji dhidi ya Chadema, Chadema bado iko imara sana hili linawashangaza sana hawa makamongo.
Kuna kiongozi mmoja, ni mwana kijani mpauko. Aliniaambia hivi, mara ya kwanza kumsikia Mh Lema, nilijua muhuni tu. Lakini nilipopata nafasi ya kumsikia bungeni. Mpaka leo siamini kama ni Lema niliekuwa namhisi au Prof wa Oxford Uni. Maana anaongea huku akijua anaongea nini na mifano kedekede. Akamalizis hakika Chadema ina viongozi.Mungu ampe maisha marefu, nampendaje!???
Hii haina mfano![]()
Nani kasema😬Lema harudi 2020![]()
🙋🙏Kuna kiongozi mmoja, ni mwana kijani mpauko. Aliniaambia hivi, mara ya kwanza kumsikia Mh Lema, nilijua muhuni tu. Lakini nilipopata nafasi ya kumsikia bungeni. Mpaka leo siamini kama ni Lema niliekuwa namhisi au Prof wa Oxford Uni. Maana anaongea huku akijua anaongea nini na mifano kedekede. Akamalizis hakika Chadema ina viongozi.
Mmma mungapasyaga Kyala alipo.mbombo ngafuView attachment 1145052
Hajatukana na kuita watu wapuuzi kama ilivyokuwa zamani kwenye mikutano yake?Ungekuwa ni mkutano wa ccm wamasai wangesombwa kutoka ngorongoro na viunga vyake fuso zingekuwa bize kwelikweli.
swadaktaKuna kiongozi mmoja, ni mwana kijani mpauko. Aliniaambia hivi, mara ya kwanza kumsikia Mh Lema, nilijua muhuni tu. Lakini nilipopata nafasi ya kumsikia bungeni. Mpaka leo siamini kama ni Lema niliekuwa namhisi au Prof wa Oxford Uni. Maana anaongea huku akijua anaongea nini na mifano kedekede. Akamalizis hakika Chadema ina viongozi.
Hizi picha mbona zimepigwa kiupande upande? Mngepiga kwa juu tuone kama kweli kuna nyomi kama mnavyofanyaga na ka video mngetupia.Mbunge wa milele wa Jimbo la Arusha Mjini leo ametikisa Mji wa Arusha na vitongoji vyake baada ya mkutano mzito sana wa hadhara.
View attachment 1144858
View attachment 1144859
View attachment 1144860
View attachment 1144861
Endeleeni kutega sikio kwa safari ya kikazi ya Mbunge huyu iliyoanza rasmi leo
Utampendaje mwanaume mwenzako, mke wake akikusikia ndo utajuwa, sema unamkubali angalau iko sawa. Tuanze kupunguza maneno ya sifa kwa wanasiasa ili wafanye kazi walizotumwa.
Sasa hayo mapichapicha ndo Sera zake?Mbunge wa milele wa Jimbo la Arusha Mjini leo ametikisa Mji wa Arusha na vitongoji vyake baada ya mkutano mzito sana wa hadhara.
View attachment 1144858
View attachment 1144859
View attachment 1144860
View attachment 1144861
Endeleeni kutega sikio kwa safari ya kikazi ya Mbunge huyu iliyoanza rasmi leo
Wazee wa mafuriko...sasa hayo mapicha na matikisiko au?Mbunge wa milele wa Jimbo la Arusha Mjini leo ametikisa Mji wa Arusha na vitongoji vyake baada ya mkutano mzito sana wa hadhara.
View attachment 1144858
View attachment 1144859
View attachment 1144860
View attachment 1144861
Endeleeni kutega sikio kwa safari ya kikazi ya Mbunge huyu iliyoanza rasmi leo
Imekugusa,sasa bado Ngarenaro.Kweli japokuwa wengi ni watoto chini ya miaka 12 kama picha inavyo onyesha.