Lema Atikisa Arusha

Lema Atikisa Arusha

"Na mbele wangewekwa watu maalumu wa kushangilia. Nimehudhuria mikutano mingi ya CCM pale mbele unapoona watu wakishangilia huwa wanapewa mafunzo wiki moja kabla. Dhulma iliyopo wakati wa mafunzo huwa wahudhuriaji huwa wanaishia kupewa soda na ahadi ya elfu 15 mkutano ukiisha. Mkutano ukiisha wachache wenye viherehere ndio hupata pesa. Wale wapole hupewa ahadi zidizoisha" zilisikika sauti za mdau mmoja mbele ya kundi kubwa la watu
Hiyo ni laana mtu anapigishwa vigelegele siku nzima kisha anaishia kuzulumiwa..ccm haifai
 
Tangu awe mbunge hakuna alichofanya zaidi ya kugawa zipe picha zake akipumuliwa
Lema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
 
pole yake kamanda rpc wa pale,ataulizwa na kamati maalumu kwanini hakufanya fitina ! Go Lema
 
Utampendaje mwanaume mwenzako, mke wake akikusikia ndo utajuwa, sema unamkubali angalau iko sawa. Tuanze kupunguza maneno ya sifa kwa wanasiasa ili wafanye kazi walizotumwa.
Sifa kuu ziende kwa Mwenyekiti na mpendwa wetu tu na zingine kwa viongozi wengine was Chama cha Kijani ambacho wanachama wake damu yao ni kijani pia.
 
Huwezi amini hako kaeneo kalivyo kadogo pamoja na kuwa na magari mengi sana lakini kimeshindwa kabisa kufurika, kuchokwa kubaya.
unajidhalilisha makusudi kwa faida ya nani ?
 
Back
Top Bottom