LEMA anatafuta umaarufu wa kisiasa kwa faida ya nani?!

Status
Not open for further replies.
TAHADHALI IKIKUKWAZA ACHANA NAYO.

Wakuu habri ya Sikukuu?,natumaini hamjambo wote,kwa wale wagonjwa poleni mungu atawasaidia mtapona. Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema,na kujiuliza maswali mengi mengine nimejkuwa sipati majibu hata kidogo.

sasa na wewe unatuletea ujinga wako unatafuta umaarufu humu ndani????Unatafuta umaarufu kwa Mulongo na shishiem yenu????:behindsofa: Hapa hakuna kulemba ni kazi kazi tu!!!!!
Kama unaona anatafuta umaarufu jaribu na wewe uone kama kazi ni nyepesi kiasi hicho!!!!!!!!!!!!!Wewe si unajipatia kaumaarufu kwa Ridhiwani
Tafadhalini naomba tujadili hili kwa uungwana mkubwa ili tusije tukaondoa maana halisi ya maudhui yangu,Tangu kuingia kwake madarakani Arusha hakujatulia,kila siku ni migogoro na vurugu ambazo mwisho wake ni lazima mtu apotee maisha!. Kwa wale wenye kumbukumbu sahihi mtakubaliana na mimi kwamba katika uongozi wake watu si chini ya wanne wamekwishapoteza maisha kutokana na vurugu,sitaki kuingia kwa undani juu ya hili lakini kwa wale wenye kumbukumbu nadhani mnalitambua.

Ni huyu huyu Lema ambaye amejikuta mara kadhaa akitolewa Bungeni kama si kukwazana na viongozi kadhaa ndani ya Bunge kutokana na maneno yake kadha wa kadha haijalishi iwe kweli ama si kweli,lakini yametokea!. Mara nyingi nimekuwa pia nikufuatilia kauli zake kwenye mikutano mbalimbali ya hadhara,ukisikiliza kwa makini uangundua kwamba Lema ni Mtata,ni mtu ambaye anaonekana kukata tamaa ya maisha na sasa kujaribu kutumia njia za mkato ikiwemo jazba kutafuta ufumbuzi.

Nimemsikia mara nyingi sana akithibitisha kwamba hapndi kuonewa na pale anapobaini kwamba anataka ama ameonewa basi ni lazima asimame kidete kujitetea ama kutetea haki yake,hili ni jambo ni sahihi na namuunga mkono,lakini tunatofautiana katika kuidai hii haki,yeye anatumia nguvu kubwa zaidi. Kuna viongozi wengi sana ambao ukiwatizama wamefanya mambo makubwa na mazito katika kuhakikisha kwamba wanajitetea ama kuwatetea na wengine ama wale wanaowaongoza,lakini wamekuwa wakitumia hoja ambazo mwisho wa siku zinaleta mana halisi.

Kwa mfano yupo JOHN MNYIKA,ZITTO KABWE,DK.SLAA,HALIMA MDEE,na wengineo wengi wa leo,jana na juzi,lakini hatuawahi kusikia vurugu kwenye maeneo yao wala watu kuuawa,nilitegemea kwamba Baada ya Lema kurudi Bungeni na kwa sababu amekiangusha chama kikubwa kama CCM angetulia na kujaribu kuwaonyesha watanzania kwamba yeye ni mtu wa namna gani katika nchi hii,lakini matarajio yangu yamekuwa tofauti.

Ndiyo mana nashawishika kuamini kwamba pengine Lema anatafuta umaarufu kutokana na hivi vituko vyake vya kila siku!,lakini ni vituko ambavyo vinaanza sasa kumfanya adharaulike katika jamii,kwa sababu watu wanaanza kuzoea kwamba LEMA ni wa vurugu. Ombi langu kama Lema atatoka na kurejea tena mitaani,kuna haja ya viongozi wa CHADEMA kukutana nae na kujaribu kuzungumza nae,mbona wenzake wanakua na hoja na zinapenya na kupokelewa vizuri na jamii?!,kwa nini aisijifunze kwa wenzake.

Mwisho hakuna mtu anayependa kuonewa hapa Duniani,hata mtoto mdogo ambaye bado ananyonya akiona mama yake anamsumbua sana kwenye titi huwa anapiga ngumi ama kuficha na kupiga mateke kuashiria kwamba hapendezwi na yanayojitokeza.Narudia Lema akitoka salama Polisi na kurejea mitaani aachane na hizi vurugu akae na wananchi wake wafanya shughuli za maendeleo,naamini wameshaelewa madhumuni yake.

Tangu lini wewe ukakubalina na kazi ya Lema na MaCDM? Wewe huwa ni kushadadia tu,Ridhiwani akikutoa na chai ya chai ya new africa hotel basi akili yako inaruka kabisa
 
Tangu lini wewe ukakubalina na kazi ya Lema na MaCDM? Wewe huwa ni kushadadia tu,Ridhiwani akikutoa na chai ya chai ya new africa hotel basi akili yako inaruka kabisa

sasa na wewe unatuletea ujinga wako unatafuta umaarufu humu ndani????Unatafuta umaarufu kwa Mulongo na shishiem yenu????:behindsofa: Hapa hakuna kulemba ni kazi kazi tu!!!!!
Kama unaona anatafuta umaarufu jaribu na wewe uone kama kazi ni nyepesi kiasi hicho!!!!!!!!!!!!!Wewe si unajipatia kaumaarufu kwa Ridhiwani
 
Jiografia uliyopasi wewe ndio ilikufundisha watu kuanzisha nchi baharani?......FYI nilipata B O level mwaka 1979 na A ya A level...sijui hata kama ulikuwa umezaliwa

Mkuu halafu watu wa longi wanajua kudanganya sana, ni Pm nihakikishe mkuu otherwise itakua hadithi tu ya kusisimua
 
kule ni hollywood wale ni wasanii na hapa hatujadili wasanii tuna jadili anacho kifanya lema:
hakuna jimbo,nchi yeyote duniani ambayo inachagua viongozi wake ili waje kujitafutia umaarufu unless anakua amewafanyia wananchi wake kazi waliyo mtuma kuifanya.lakini ukijaribu kumuangalia lema BUNGENI hayupo kwanini?ni kutokana na vurugu zake za ajabu ajabu ukijaribu kuangalia mikutano na vikao vyote vya bunge vilivyo kaa tangu achaguliwe vinahesabika!
NINI MAANA YAKE??
.HUYO NI KIONGOZI WA KULIONGOZA JIMBO KAMA ARUSHA MJINI'???


Wewe wacha maneno mengi kama watz tulivyo, embu niambie nini ambacho Lema anakifanya ambacho wananchi hawaja mtuma? Ni ambie pia ni nini maana ya umaarufu kwa sababu sielewi unamaanisha nini hapa? Kwa sabubu kuna tofauti ya kutafuta umaarufu na kutaka kuonekana unajua wakati ujue kitu, kutaka kuoneonekana unajua wakati ujue ndo mbaya!!

Hivi kuna mtu alimtuma Kikwete kwenda kukutana na Ruto kule serengeti au kuruka bembea kule jamaica? Au unafikiri ni kwa nini wapiga kura waliomtuma Lema walimzomea mkuu wa mkoa badala ya Lema?

Ni tofauti ya kazi za ubunge wa Lema na zile ambazo wewe unadhani ndo katumwa kufanya, tafadhali.
 
TAHADHALI IKIKUKWAZA ACHANA NAYO.

Wakuu habri ya Sikukuu?,natumaini hamjambo wote,kwa wale wagonjwa poleni mungu atawasaidia mtapona. Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema,na kujiuliza maswali mengi mengine nimejkuwa sipati majibu hata kidogo.

Tafadhalini naomba tujadili hili kwa uungwana mkubwa ili tusije tukaondoa maana halisi ya maudhui yangu,Tangu kuingia kwake madarakani Arusha hakujatulia,kila siku ni migogoro na vurugu ambazo mwisho wake ni lazima mtu apotee maisha!. Kwa wale wenye kumbukumbu sahihi mtakubaliana na mimi kwamba katika uongozi wake watu si chini ya wanne wamekwishapoteza maisha kutokana na vurugu,sitaki kuingia kwa undani juu ya hili lakini kwa wale wenye kumbukumbu nadhani mnalitambua.

Ni huyu huyu Lema ambaye amejikuta mara kadhaa akitolewa Bungeni kama si kukwazana na viongozi kadhaa ndani ya Bunge kutokana na maneno yake kadha wa kadha haijalishi iwe kweli ama si kweli,lakini yametokea!. Mara nyingi nimekuwa pia nikufuatilia kauli zake kwenye mikutano mbalimbali ya hadhara,ukisikiliza kwa makini uangundua kwamba Lema ni Mtata,ni mtu ambaye anaonekana kukata tamaa ya maisha na sasa kujaribu kutumia njia za mkato ikiwemo jazba kutafuta ufumbuzi.

Nimemsikia mara nyingi sana akithibitisha kwamba hapndi kuonewa na pale anapobaini kwamba anataka ama ameonewa basi ni lazima asimame kidete kujitetea ama kutetea haki yake,hili ni jambo ni sahihi na namuunga mkono,lakini tunatofautiana katika kuidai hii haki,yeye anatumia nguvu kubwa zaidi. Kuna viongozi wengi sana ambao ukiwatizama wamefanya mambo makubwa na mazito katika kuhakikisha kwamba wanajitetea ama kuwatetea na wengine ama wale wanaowaongoza,lakini wamekuwa wakitumia hoja ambazo mwisho wa siku zinaleta mana halisi.

Kwa mfano yupo JOHN MNYIKA,ZITTO KABWE,DK.SLAA,HALIMA MDEE,na wengineo wengi wa leo,jana na juzi,lakini hatuawahi kusikia vurugu kwenye maeneo yao wala watu kuuawa,nilitegemea kwamba Baada ya Lema kurudi Bungeni na kwa sababu amekiangusha chama kikubwa kama CCM angetulia na kujaribu kuwaonyesha watanzania kwamba yeye ni mtu wa namna gani katika nchi hii,lakini matarajio yangu yamekuwa tofauti.

Ndiyo mana nashawishika kuamini kwamba pengine Lema anatafuta umaarufu kutokana na hivi vituko vyake vya kila siku!,lakini ni vituko ambavyo vinaanza sasa kumfanya adharaulike katika jamii,kwa sababu watu wanaanza kuzoea kwamba LEMA ni wa vurugu. Ombi langu kama Lema atatoka na kurejea tena mitaani,kuna haja ya viongozi wa CHADEMA kukutana nae na kujaribu kuzungumza nae,mbona wenzake wanakua na hoja na zinapenya na kupokelewa vizuri na jamii?!,kwa nini aisijifunze kwa wenzake.

Mwisho hakuna mtu anayependa kuonewa hapa Duniani,hata mtoto mdogo ambaye bado ananyonya akiona mama yake anamsumbua sana kwenye titi huwa anapiga ngumi ama kuficha na kupiga mateke kuashiria kwamba hapendezwi na yanayojitokeza.Narudia Lema akitoka salama Polisi na kurejea mitaani aachane na hizi vurugu akae na wananchi wake wafanya shughuli za maendeleo,naamini wameshaelewa madhumuni yake.
Mkuu Wabhe na wakuu wote wa hapa JF heshima mbele.Wabhe with all due respect naomba nikufafanulie mambo kadhaa.kwanza,neno umaarufu sio jina au cheo ambacho mlengwa anajipachika mwenyewe.ni status ambayo(kwa Mh Lema) wananchi wamempachika kutokana na mambo anayoyafanya akiwa kama mbunge.Lema anachofanya ni kutetea anachokiamini then wananchi ndio wanaompa hiyo status ya umaarufu.
Pili,Mkuu Wabhe elewa kwamba Lema ni mwanasiasa hivyo ambaye ni mbunge.wabunge wanachaguliwa kwa kura za wananchi wa majimbo wanayogombea.wapiga kura (wewe ukiwa mmojawao) kwa kawaida wanamchagua mtu ambaye anajulikana/anasikika zaidi au maarufu(kwenye jimbo lao).hivyo kazi mojawapo ya lema kama mwanasiasa ni lazima ahakikishe wapiga kura wake wanampa "umaarufu" ambao utamfanya ashinde tena chaguzi zinazofuata.umaarufu ndio unaowawezesha kushinda kwenye uchaguzi.Tatu,sio sahihi hata kidogo kumlaumu Lema kwa fujo/vurugu au vifo vya wananchi vinavyotokea kwenye mikutano ya kisiasa ambayo lema ameshiriki kwenye kuhutubia wananchi.kwanza kabisa elewa kwamba lema anachofanya ni kuongea na hajawahi kushawishi au kuwaamrisha wananchi waleteane au waanzishe vuruku mikutanoni.jukumu la kuzuia vurugu za wananchi sio jukumu la Lema na wala hana uwezo huo.Ni jukumu la serekali kwa kupitia jeshi la polisi.jukumu la jeshi la polisi ni kulinda na kuhakikisha usalama wa wananchi wake.Mwisho kabisa,huwezi pia kumfananisha lema na wakina zitto au mnyika nk.ukifanya hivyo utakuwa unakosea sana na ni dharau kwa Mungu ambaye ametuumba wote na kututofautisha kwa makusudi yake maalumu.slaa,zitto,lema,mnyika nk wote ni maarufu kwenye nyanja tofauti kutokana na vipaji vyao walivyopewa na Mungu.Kama baadhi ya wananchi wanafikia kuleta vurugu kwenye mikutano anayohutubia Lema basi ni kutokana na kuguswa na uzito wa hoja anazozitoa lema.na kila msikilizaji huvutiwa na maneno ya Lema kwa kiwango tofauti.
 
TAHADHALI IKIKUKWAZA ACHANA NAYO.

Wakuu habri ya Sikukuu?,natumaini hamjambo wote,kwa wale wagonjwa poleni mungu atawasaidia mtapona. Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema,na kujiuliza maswali mengi mengine nimejkuwa sipati majibu hata kidogo.

Tafadhalini naomba tujadili hili kwa uungwana mkubwa ili tusije tukaondoa maana halisi ya maudhui yangu,Tangu kuingia kwake madarakani Arusha hakujatulia,kila siku ni migogoro na vurugu ambazo mwisho wake ni lazima mtu apotee maisha!. Kwa wale wenye kumbukumbu sahihi mtakubaliana na mimi kwamba katika uongozi wake watu si chini ya wanne wamekwishapoteza maisha kutokana na vurugu,sitaki kuingia kwa undani juu ya hili lakini kwa wale wenye kumbukumbu nadhani mnalitambua.

Ni huyu huyu Lema ambaye amejikuta mara kadhaa akitolewa Bungeni kama si kukwazana na viongozi kadhaa ndani ya Bunge kutokana na maneno yake kadha wa kadha haijalishi iwe kweli ama si kweli,lakini yametokea!. Mara nyingi nimekuwa pia nikufuatilia kauli zake kwenye mikutano mbalimbali ya hadhara,ukisikiliza kwa makini uangundua kwamba Lema ni Mtata,ni mtu ambaye anaonekana kukata tamaa ya maisha na sasa kujaribu kutumia njia za mkato ikiwemo jazba kutafuta ufumbuzi.

Nimemsikia mara nyingi sana akithibitisha kwamba hapndi kuonewa na pale anapobaini kwamba anataka ama ameonewa basi ni lazima asimame kidete kujitetea ama kutetea haki yake,hili ni jambo ni sahihi na namuunga mkono,lakini tunatofautiana katika kuidai hii haki,yeye anatumia nguvu kubwa zaidi. Kuna viongozi wengi sana ambao ukiwatizama wamefanya mambo makubwa na mazito katika kuhakikisha kwamba wanajitetea ama kuwatetea na wengine ama wale wanaowaongoza,lakini wamekuwa wakitumia hoja ambazo mwisho wa siku zinaleta mana halisi.

Kwa mfano yupo JOHN MNYIKA,ZITTO KABWE,DK.SLAA,HALIMA MDEE,na wengineo wengi wa leo,jana na juzi,lakini hatuawahi kusikia vurugu kwenye maeneo yao wala watu kuuawa,nilitegemea kwamba Baada ya Lema kurudi Bungeni na kwa sababu amekiangusha chama kikubwa kama CCM angetulia na kujaribu kuwaonyesha watanzania kwamba yeye ni mtu wa namna gani katika nchi hii,lakini matarajio yangu yamekuwa tofauti.

Ndiyo mana nashawishika kuamini kwamba pengine Lema anatafuta umaarufu kutokana na hivi vituko vyake vya kila siku!,lakini ni vituko ambavyo vinaanza sasa kumfanya adharaulike katika jamii,kwa sababu watu wanaanza kuzoea kwamba LEMA ni wa vurugu. Ombi langu kama Lema atatoka na kurejea tena mitaani,kuna haja ya viongozi wa CHADEMA kukutana nae na kujaribu kuzungumza nae,mbona wenzake wanakua na hoja na zinapenya na kupokelewa vizuri na jamii?!,kwa nini aisijifunze kwa wenzake.

Mwisho hakuna mtu anayependa kuonewa hapa Duniani,hata mtoto mdogo ambaye bado ananyonya akiona mama yake anamsumbua sana kwenye titi huwa anapiga ngumi ama kuficha na kupiga mateke kuashiria kwamba hapendezwi na yanayojitokeza.Narudia Lema akitoka salama Polisi na kurejea mitaani aachane na hizi vurugu akae na wananchi wake wafanya shughuli za maendeleo,naamini wameshaelewa madhumuni yake.

Lema atafute umaarufu gani wakati yeye ni maarufu tayari au ndo unaleta wivu wako wa kike, tatizo umelelewa na kukua kinafiki Lema nyeusi anaita nyeusi na nyeupe anaita nyeupe, wanafiki wengi kama wewe shauri ya woga wakati kifo ni dhahiri mnaweza kuita nyeusi nyeupe.
 
TAHADHALI IKIKUKWAZA ACHANA NAYO.

Wakuu habri ya Sikukuu?,natumaini hamjambo wote,kwa wale wagonjwa poleni mungu atawasaidia mtapona. Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia siasa za Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema,na kujiuliza maswali mengi mengine nimejkuwa sipati majibu hata kidogo.

Tafadhalini naomba tujadili hili kwa uungwana mkubwa ili tusije tukaondoa maana halisi ya maudhui yangu,Tangu kuingia kwake madarakani Arusha hakujatulia,kila siku ni migogoro na vurugu ambazo mwisho wake ni lazima mtu apotee maisha!. Kwa wale wenye kumbukumbu sahihi mtakubaliana na mimi kwamba katika uongozi wake watu si chini ya wanne wamekwishapoteza maisha kutokana na vurugu,sitaki kuingia kwa undani juu ya hili lakini kwa wale wenye kumbukumbu nadhani mnalitambua.

Ni huyu huyu Lema ambaye amejikuta mara kadhaa akitolewa Bungeni kama si kukwazana na viongozi kadhaa ndani ya Bunge kutokana na maneno yake kadha wa kadha haijalishi iwe kweli ama si kweli,lakini yametokea!. Mara nyingi nimekuwa pia nikufuatilia kauli zake kwenye mikutano mbalimbali ya hadhara,ukisikiliza kwa makini uangundua kwamba Lema ni Mtata,ni mtu ambaye anaonekana kukata tamaa ya maisha na sasa kujaribu kutumia njia za mkato ikiwemo jazba kutafuta ufumbuzi.

Nimemsikia mara nyingi sana akithibitisha kwamba hapndi kuonewa na pale anapobaini kwamba anataka ama ameonewa basi ni lazima asimame kidete kujitetea ama kutetea haki yake,hili ni jambo ni sahihi na namuunga mkono,lakini tunatofautiana katika kuidai hii haki,yeye anatumia nguvu kubwa zaidi. Kuna viongozi wengi sana ambao ukiwatizama wamefanya mambo makubwa na mazito katika kuhakikisha kwamba wanajitetea ama kuwatetea na wengine ama wale wanaowaongoza,lakini wamekuwa wakitumia hoja ambazo mwisho wa siku zinaleta mana halisi.

Kwa mfano yupo JOHN MNYIKA,ZITTO KABWE,DK.SLAA,HALIMA MDEE,na wengineo wengi wa leo,jana na juzi,lakini hatuawahi kusikia vurugu kwenye maeneo yao wala watu kuuawa,nilitegemea kwamba Baada ya Lema kurudi Bungeni na kwa sababu amekiangusha chama kikubwa kama CCM angetulia na kujaribu kuwaonyesha watanzania kwamba yeye ni mtu wa namna gani katika nchi hii,lakini matarajio yangu yamekuwa tofauti.

Ndiyo mana nashawishika kuamini kwamba pengine Lema anatafuta umaarufu kutokana na hivi vituko vyake vya kila siku!,lakini ni vituko ambavyo vinaanza sasa kumfanya adharaulike katika jamii,kwa sababu watu wanaanza kuzoea kwamba LEMA ni wa vurugu. Ombi langu kama Lema atatoka na kurejea tena mitaani,kuna haja ya viongozi wa CHADEMA kukutana nae na kujaribu kuzungumza nae,mbona wenzake wanakua na hoja na zinapenya na kupokelewa vizuri na jamii?!,kwa nini aisijifunze kwa wenzake.

Mwisho hakuna mtu anayependa kuonewa hapa Duniani,hata mtoto mdogo ambaye bado ananyonya akiona mama yake anamsumbua sana kwenye titi huwa anapiga ngumi ama kuficha na kupiga mateke kuashiria kwamba hapendezwi na yanayojitokeza.Narudia Lema akitoka salama Polisi na kurejea mitaani aachane na hizi vurugu akae na wananchi wake wafanya shughuli za maendeleo,naamini wameshaelewa madhumuni yake.

Ili mtu akubaliane na maneno yako haya anahtaji kuwa mwendawazimu kama wewe,unachokisema ama kukionyesha hapa ni uvivu wako wa kufkiri na mawazo mgando mliyonayo vijana wa ccm na chama chenu chakavu,na kwa sababu mnalaana ya kutojitambua endereeni kuwa hivyo hadi mwisho kwani dunia haiwezi kukamilka paspo wajinga kama ninyi kuwemo.
 
Kwa kifupi anatafuta umaarufu kwa faida ya mama yako, pungwani mkubwa nakutakia g9t, tumia akili, kichwa bovu kama la magesa mulugo
 
huwezi kuwagawa watu kwa misingi hiyo kila mtu anautaratibu wake wa kudai haki tunamsaport lema bega kwa bega, mguu kwa mguu tupo nyuma yake kwenye ukombozi wa kweli najua harakati za lema zinakutisha
 
Jiandae Kuandika Mada Ya Kipumbavu Kama Hii Leo Mahakaman Hapatosh. Kwa Akili Yako Utasema Na Leo Lema Kachochea Vurugu. Jaman Kumbuken Ada Za Wazaz Wenu. Me Nahic Shule Ulipelekwa Kukua
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom