Waendesha pikipiki wa jiji la Arusha wameandamana leo ofisi ya Dc Arusha kupinga unyanyasaji wanaofanyiwa na trafic. Dc alishindwa kuwatuliza na jazba zao kuongezeka hadi pale mh Lema alipoingilia na kuwatuliza kwa kuahidi kushughulikia tatizo lao.Kwa sasa hali imetulia