Humphrey Polepole kaamua kujitoa mhanga na kuungana na wadau kuipigania Tanzania.
Ajabu na kweli jana akatokea Lema katikati ya show ati kutaka kumshauri ya kufanya Polepole?
Kwani ni siri? Polepole? kwa bongo ile ni Rostam au Lema wenye capacity ya kumshauri huyu?
Tuache husuda, nchi hii ilipo tunawahitaji wote wakiwamo wa aina ya Polepole kumvaa binti kiziwi.
Makelele yakikokolea mbona masikio yatazibuka?
Go Polepole go tunasubiri mhadhara #4 utaoshuka bila shaka sasa na lile kombara lenyewe la nyuklia.
Ashaurilwe Lema kuuliza maswali au kukaa kwa kutulia Polepole hahitaji ushauri wa watu wa aina yake!
Pia soma: Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini
Ajabu na kweli jana akatokea Lema katikati ya show ati kutaka kumshauri ya kufanya Polepole?
Kwani ni siri? Polepole? kwa bongo ile ni Rostam au Lema wenye capacity ya kumshauri huyu?
Tuache husuda, nchi hii ilipo tunawahitaji wote wakiwamo wa aina ya Polepole kumvaa binti kiziwi.
Makelele yakikokolea mbona masikio yatazibuka?
Go Polepole go tunasubiri mhadhara #4 utaoshuka bila shaka sasa na lile kombara lenyewe la nyuklia.
Ashaurilwe Lema kuuliza maswali au kukaa kwa kutulia Polepole hahitaji ushauri wa watu wa aina yake!
Pia soma: Kutokuungwa mkono Bashiru, Polepole, Ndugai na wengine, tujitathmini