Lema agonga mwamba Arusha

Lema anatuaibisha wanachadema wa Arusha..
Afadhali wamiliki wa vyombo vya usafiri wameliona hilo.
facebook a.k.a sura ya kitabu............. a.k.a FB ya madenti na mapyupulu............. mkiishiwa vya kuandika someni vilivyoandikwa na wengine
 
 
si afadhali yeye kakaririshwa kusema hivyo. Ebu tupe wewe ulichotokanacho kama siyo the, the, the ,the.......

Mtatoka sana povu mpaka mate yawakauke,CHADEMA HAITIKISIKI HAPA MWENDO MDUNDO,alaa mnaleta nguvu ya posho hapa,PEOPLEZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ!!!!.
 

Uhuru si ndo wale "waliotabiri" matokeo ya uraisi kupitia gazeti dada la Daily News au!? Sishangai walivoandika hiyo habari! Uzuri jukumu la kuamini wametuachia wenye vichwa vya kufikiria!!
 
usijali LEMA jIPE MOYO kaka yangu. Mungu atakupigania one day.
 
Powerrrrrrrrrrrrrrrrrr
mtatoka sana povu mpaka mate yawakauke,chadema haitikisiki hapa mwendo mdundo,alaa mnaleta nguvu ya posho hapa,peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!!!!.
 
Source ya taarifa yenyewe ni UHURU. Kama ni UHURU Gazeti kama ninavyofaamu sishangai kwa sababu nahisi wariri wake wanabanaga nywele kwa hiyo kutoa taarifa kama hiyo sioni ajbu. Hawana tofauti na Devid Camerun
 
Habari hyo kama umeileta hapa basi mwandishi na wewe thatha akilizenu zembe! M2 yuko gerezani,amawezaji shawishi walio nje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…