shingwengwe
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 1,152
- 125
pamoja daimaaaaaaaaa
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.
Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.
CCm hata mmlte Kikwete kugombea udiwani Arusha hawezi kushinda
Yapo humu yanachungulia,yanaogopa kucomment...
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.
Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.
Wataweweseka sana watu wameshajua ni majangili nchi imewashinda, wanawaogopa kama ukoma
mabavicha mnapenda porojo sana.
Ina maana Mungi uli hudhuria mkutano wa ccm na uka shuhudia hayo?
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.
Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.
Hivi Mungi riziki ya kila siku unaitafutaga saa ngapi ilhali kutwa/kucha uko kwenye mikumbo ya kampeni? Mimi niko Arusha lakini sijawahi kupata muda wa kuhudhuria mkutano hata mmoja wa kampeni sombetini. Lakini ndugu yangu wewe hata mikutano ya CCM umo?
Ccm yamebakiza misukule
Hivi Mungi riziki ya kila siku unaitafutaga saa ngapi ilhali kutwa/kucha uko kwenye mikumbo ya kampeni? Mimi niko Arusha lakini sijawahi kupata muda wa kuhudhuria mkutano hata mmoja wa kampeni sombetini. Lakini ndugu yangu wewe hata mikutano ya CCM umo?