Lema aendelea kuitesa CCM Arusha....

Lema aendelea kuitesa CCM Arusha....

Arusha tunatabia ya kuishinda ccm bila woga.
Lema ametuambia hao kina Jumanne Mjusi tuwavungie kwanza.
Hatuna haja ya kuwafata kwenye mikutano yao, tuna mahali maalum.
 
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.

Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.

mabavicha mnapenda porojo sana.
 
Kitila, you have put things in the manifesto which made me walk out of CCM (Kitila, umeweka mambo katika ilani ambayo yalinifanya mimi nitoke CCM). Nikamuulize yapi hayo mzee, akanieleza sera kama vile za elimu bure, serikali kusimamia kilimo, na akanionyesha sura kama mbili hivi katika ilani ambazo kwa maoni yake, na kweli ndivyo ilivyokuwa, zilikuwa haziendani na msimamo wa CHADEMA kiitikadi na kifalsafa. Nikacheka sana,
 
Lema amekimbia baada ya vijana kumfuata shule ya msingi sombetini akiwa na mawazo
 
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.

Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.

Mwendawazi wa nn huyo kichaa
 
....unajua hata misukule iliyokuwa inasombwa na malori kuhudhuria mikutano wameanza kupata fahamu,naona ukombozi umekaribia...
 
Ina maana Mungi uli hudhuria mkutano wa ccm na uka shuhudia hayo?

Siyo kuhudhuria tu, hata mazingira ya mkutano unapofanyika unaweza ukawa upo jirani ukawasikia magamba yanavyobwabwaja pumba unaweza ukatapika.
Ilikuta siku moja maeneo ya sanawari, ukiwasikia wanavyoongea ujinga unaweza ukatamani ardhi ipasuke ujichimbie
 
Last edited by a moderator:
LEMA anawadanganya wana-sombetini kuwa yeye ndio amejenga/anajenga barabara kwa kiwango cha lami.
 
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.

Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.

Hivi Mungi riziki ya kila siku unaitafutaga saa ngapi ilhali kutwa/kucha uko kwenye mikumbo ya kampeni? Mimi niko Arusha lakini sijawahi kupata muda wa kuhudhuria mkutano hata mmoja wa kampeni sombetini. Lakini ndugu yangu wewe hata mikutano ya CCM umo?
 
Last edited by a moderator:
Hivi Mungi riziki ya kila siku unaitafutaga saa ngapi ilhali kutwa/kucha uko kwenye mikumbo ya kampeni? Mimi niko Arusha lakini sijawahi kupata muda wa kuhudhuria mkutano hata mmoja wa kampeni sombetini. Lakini ndugu yangu wewe hata mikutano ya CCM umo?

Uko Ar ipi wewe
 
Last edited by a moderator:
Hivi Mungi riziki ya kila siku unaitafutaga saa ngapi ilhali kutwa/kucha uko kwenye mikumbo ya kampeni? Mimi niko Arusha lakini sijawahi kupata muda wa kuhudhuria mkutano hata mmoja wa kampeni sombetini. Lakini ndugu yangu wewe hata mikutano ya CCM umo?

Mkuu kuhusu riziki usipate shida, maana kipindi hiki cha kampeni ccm wanamwaga hela wabongo tunakula za wajinga....... Ndiyo kuishi mjini kula kwa ccm kura chadema

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Muulize Mungi atakuleta ofisini kwangu.

Ofisi ipi nimlete? Maana ya Baracuda washaivunja umebakiwa na Shiverz

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom