Lema aendelea kuitesa CCM Arusha....

Lema aendelea kuitesa CCM Arusha....

kinana ile kesi aliweza kumfungulia msigwa?
Mmekalia ushabiki maandazi tu, yakiwakalia kooni wenzenu hata taarifa mnajifanya hamna. Anzeni kuuza GONGO mkamlipie mropokaji wenu hali mbaya mawakili wake wanahaha kutafuta pesa.
 
Arusha tunatabia ya kuishinda ccm bila woga.
Lema ametuambia hao kina Jumanne Mjusi tuwavungie kwanza.
Hatuna haja ya kuwafata kwenye mikutano yao, tuna mahali maalum.

Wewe una mahali maalum na Mjusi, zikiwekwa picha mnaanza kusingizia photo shop kama zile za baba yenu Lema mlivyozikana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom