Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Ilikuwa kama chekekesho hivi....... Kuna gari lilikuwa linapita karibu na mkutano wa ccm kata ya Sombetini, ilikuwa inafanana na la mbunge Lema, ilipowakaribia green walidhani ni la lema .... zikasikika sauti za peopleeeeezzz katikati ya mkutano wa ccm, ....... ilibidi magreen guard waukimbei mkutano wao wakajifiche wakidhani wanatafutwa kwa kuwapiga makamanda wa chadema. Ilichukua muda kuamini kwamba hakuwa Lema, ikabidi warudi kulinda mkutano.
Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.
Kwa ujumla hali ya ccm Sombetini ni mbaya sana ukizingatia mgombea mwenyewe ameshaanza kulalamika kuwa alilazimishwa kugombea.