The Mockingjay
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 380
- 121
Sijui utendaji wa Mama Nyoni, ila Nehemia ni mchapa kazi na ana maadili.
Mmeshindwa kumpakazia jamaa kwenye rushwa sasa mnampakazia ukabila. Mbona amewapa kazi wachaga, wahaya, etc wengi zaidi ya kabila lake?
Mwacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Huyo mzee alikuwa mwiba wa wengi na wengi wangependa aondoke mapema zaidi.
I personally respect the man. He was able to help people without expecting 10%. Alikuwa haongeki. It is very rare to find such characters serikalini.
Mmeshindwa kumpakazia jamaa kwenye rushwa sasa mnampakazia ukabila. Mbona amewapa kazi wachaga, wahaya, etc wengi zaidi ya kabila lake?
Mwacheni mzee wa watu apumzike kwa amani. Huyo mzee alikuwa mwiba wa wengi na wengi wangependa aondoke mapema zaidi.
I personally respect the man. He was able to help people without expecting 10%. Alikuwa haongeki. It is very rare to find such characters serikalini.