Learned Sister, hili vazi ni sawa kweli?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,208
CamScanner 06-10-2023 09.08.jpg

Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.

Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?

Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!

(Rf: guardian, june 10)
 
View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
Jeans haina tatizo hiyo au Wakili msomi Pascal Mayalla unasemaje ?
 
View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)
It wasn't fair kwa kweri!Afutaroo,she iz entitled as a vweri lenid ofsa of ze koti.Hakupaswa kuvwaa hivyo.Dress kodi mbovu inifronti of ze other lenid brothers!Asante!
 
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?

Huenda alishtukizwa dakika za mwisho...kapandishwa jukwaani kukabidhi tunzo kwa niaba
 
View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.

Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?

Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!

(Rf: guardian, june 10)
Nilikuwa na Dem wangu mmoja hiv anapenda mabwana wanaovaa (L)ABA KALI,MKANDA MKALIIII,SOKSI KALIII,BOKSA KALII, SAA KALI lakini hela anakuja kuniomba mm
 
View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.

Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?

Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!

(Rf: guardian, june 10)
Kwa hiyo sehemu aliyokuwa hakustahili kuvaa hivyo, angevaa suti zile wanazovaaga ofisini.
 
View attachment 2652170
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.

Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?

Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!

(Rf: guardian, june 10)
Pimbi wewe kwani hapo ni mahakamani ! Dume zima linawaonea wivu pis kali wakipendeza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom