Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,208
Huwa nawaheshimu sana wanasheria kwa mavazi yao, hasa kwenye official functions.
Huyu Mwanasheria Msomi Learned Sister , Adv. Winnie Kawandakamu kavalia jeans kwenye official function.
TLS na wanasheria mliomo humu mtujuze, huyu dada hajakiuka utaratibu wa mavazi kweli?
Ila niseme ukweli tu, jeans imemkaa barabara!
(Rf: guardian, june 10)