[Leaked] Facebook Wealth Formula,500$ Daily without having Website or A Product

[Leaked] Facebook Wealth Formula,500$ Daily without having Website or A Product

Yap! Hiyo ya refund ipo na ni kawaida tu
Ila hapa na jamaa tulikuwa tunazungumzia kulipwa fedha za kigeni kwa kufanya kazi mbalimbali mtandaoni kama AdSense, freelancer,affiliative n.k au hata kutumiwa fedha na mtu kwa PayPal hiyo kwa Tz bado haijakubaliwa.
 
Nimeelewa vizuri huu uzi lakini nina maswali kidogo je kama tayari nina fan page ya Facebook na ina mashabiki wa kutosha naweza kuitumia hiyo hiyo kupiga pesa za clickbank yani kuweka hiyo link ninayoitoa click bank? Swali la pili Nimeingia kwenye website ya click bank kwenye sehemu ya nchi nimeona nchi kibao tu lakini Tanzania haipo je watanzania si tutapata tabu sana kupokea malipo yetu na ukizingatia hawa jamaa ukiweka nchi uliyopo kuna sehemu nyingine tena ya kujaza postal code sasa tutatumia postal code ya nchi gani na ya mji gani?
Msaada hapo kwa nyie wajuzi mliotutangulia MACHOZI YA SIMBA msaada wenu wakuu
 
Yap! Hiyo ya refund ipo na ni kawaida tu
Ila hapa na jamaa tulikuwa tunazungumzia kulipwa fedha za kigeni kwa kufanya kazi mbalimbali mtandaoni kama AdSense, freelancer,affiliative n.k au hata kutumiwa fedha na mtu kwa PayPal hiyo kwa Tz bado haijakubaliwa.

Ooops
 
Wakuu Post Code ya TZ ni ip?
Utawekaje postal code ya Tz wakati kwenye sehemu ya kujaza nchi hujaijaza Tz na haipo kwenye list ngoja wataalamu waje watupe muongozo jinsi ya kujisajiri lakini kwa msaada wa jinsi ya kupata postal code ingia Google andika Tanzania postal code utaingia utachagua mkoa uliopo na wilaya yako utakuta postal code ya kitongoji ulichopo kama upo posta au buguruni utaona postal code ya sehemu yako
 
wakuu nimefika hapa mbona inaleta haya maandishi kuassemble , nahitaji mwongozo
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    15.5 KB · Views: 82
Mimi nauliza hivi, ukishatengeneza hiyo fake account kule FB kisha page. Je, kule clickbank unaweka jina lako halisi au unajisajili vipi?
 
wakuu nimefika hapa mbona inaleta haya maandishi kuassemble , nahitaji mwongozo
Nenda kwenye izo video mbili apo juu za maelekezo, zisikilize kwanza mara mbili na kwa umakini kabla hujaanza kufanyia vitendo ndo utaelewa.
 
Mimi nauliza hivi, ukishatengeneza hiyo fake account kule FB kisha page. Je, kule clickbank unaweka jina lako halisi au unajisajili vipi?
Complicated nimeanzisha acc kadhaa za FB wamezifutaa ha ha kuna moja nilianzisha saa tatu usiku kesho naamka nakutana na friend request mia sita...na mabalaaa kibao
 
Aliesema Paypal haiweki Tanzania ni muongo. Mi nafanya purchase sana tu online through my paypal account bayo nime link na card yangu ya bank so natupiaga hela kwenye wallet na app yake inanipa update kila transaction.
Kureceive cash mkuu na kuwithdraw that cash. Kua muelewa bas
 
Complicated nimeanzisha acc kadhaa za FB wamezifutaa ha ha kuna moja nilianzisha saa tatu usiku kesho naamka nakutana na friend request mia sita...na mabalaaa kibao
So ulifanikiwa au vipi unajuwa tupeanae experience namna ya kuzifanya account zetu ziwe active.
 
Aisee aliefaulu anipe mchongo nami nikimbize
Nimeshafungua akaunt, nimeweza kucrack acute email id generator na inafanya kazi. Jana tu imenipa email 2200 bado kufungua yahoo mail na kuanza kurequest hizo friendship fb na kufungua akaunt ya clickmail
 
Back
Top Bottom