Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 5,134
- 7,650
Una kura yangu na sala zangu mkuu!
Mi sina KURA! Ila SALA zangu,unapata!
Mwenye enzi Mungu,akusaidie ushinde!
Una kura yangu na sala zangu mkuu!
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!
- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!
LE BAHARIA BIIG SHOOW!!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaUmesahau kuandika ha! ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
Pia amesahau kuandikaUmesahau kuandika ha! ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
Umepata prayers zetu mkuu ila wakikutema tena msimu huu, nakushauri ukajaribu CUF au NCCR.Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!
- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!
LE BAHARIA BIIG SHOOW!!
Sina imani na wewe siku izi pedezhee...hata hapo utachemsha tu.NENDA FM ACADEMIA UWE PRESDAA WAO.
Heshima mbele JF, leo ndio siku ya uchaguzi ngazi za Wilaya na Mkoa CCM hapa Karimjee Hall, ninagombea Ujumbe wa CCM wa the Great Wilaya ya Ilala na Ujumbe wa Kamati ya Siasa, so Inshallah nikipita then safari yangu ya NEC na Chama cha Wazazi Taifa mwezi ujao itakuwa 100% sawa you know!!
- This is a tough one so I need your prayers people, One Bongo! One Nation! Ingawa wengi hatuna Itikadi moja; lakini at the end of the day ni we are One Nation na SO HELP ME GOD!!
LE BAHARIA BIIG SHOOW!!