IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Nimezoea kila wiki lazima Mh. Mkuu wa mkoa wa Dar ataleta hoja nzito za kimaendeleo, lakini moana kimya au yuko likizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa kula tunda kimasihara hi!Kiukweli na mimi nimeulizwa na dreva wa uber kuwa hivi makonda yuko wapi nikakumbuka kuja kusearch huku
Anagonga champagne baada ya kufanikisha zoezi la kumuondoa Meya wa Jiji la DSMNimezoea kila wiki lazima mh mkuu wa mkoa wa dar ataleta hoja nzito za kimaendeleo,lakini moana kimya au yuko likizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha zoezi la kumuondoa Mwita lilishikana ?Kajificha kwa aibu iliyotokea majuzi baada ya mission yake ya kumwondoa meya kufail! Au Ana kikao na waziri wa tamisemi juu ya kushindwa kwa mpango wao na huenda kuanzia kesho mmojawapo atatoa tamko!
Akidi haikutimia! Na kesho anawapeleka mahakamani wote waliohusika kuendesha kikao kile!Unamaanisha zoezi la kumuondoa Mwita lilishikana ?
Unadhani baba jei hakubariki lile zoez ?Akidi haikutimia! Na kesho anawapeleka mahakamani wote waliohusika kuendesha kikao kile!
Amini nakuambia, alinenalo mwana latoka kwa baba! Na hakuna atakayetajirika na kupata madaraka kutoka kwa baba bila kupitia kwa mwana kwani mwana ni njia ya kumfikia baba!Unadhani baba jei hakubariki lile zoez ?
SwadaktaaAmini nakuambia, alinenalo mwana latoka kwa baba! Na hakuna atakayetajirika na kupata madaraka kutoka kwa baba bila kupitia kwa mwana kwani mwana ni njia ya kumfikia baba!
Na huku unanisakama mzee ...Mzee wa kula tunda kimasihara hi!